Wanaotakiwa kung'oka sio huyo mama tu ni wabunge wote wa kipande ile nyingine karibia wote
Kwa vijana wote wa Kagera huu ni wakati wa kujiandaa kuwaondoa wabunge aina ya Asumpta maana hafai hata kidogo.
Wanaotakiwa kung'oka sio huyo mama tu ni wabunge wote wa kipande ile nyingine karibia wote
mwambie alipe deni na padri atakosa la kusemaDaaah,yani nilikuwa najiuliza hivi ni kwanini mapadri wanamwagiwa tindikali na wengine wanapigwa risasi sikuwa na napata majibu! lakini kwa huyo padri anachokifanya ni dhahiri kuwa anatumiwa kisiasa,yani padri mzima badala ya kumtumikia Mungu anakubali kutumia madhabahu ya Mungu kuchafua watu kwa maneno ya uongo,sijui amelipwa sh. ngapi?Eti asipigiwe kura!!!!!!!!Wampigie nani sasa???? Ana mpango wa kuacha altare na kugombea ubunge? Kweli mwisho umefika......unafiki,chuki kila kona hata kwa mapadri
Akiwa ni miongoni mwa wabunge wa CCM waliopita bila kupingwa, mbunge huyu amekua kama mtalii katika bunge letu mjini Dodoma.
Aliyekua mgombea wa ubunge kupitia CDM maarufu kwa jina la " Focus" alijitoa dakika za mwisho na kumfanya mama huyu kupita bila kupingwa. Lakini cha ajabu huyu mama hajawai kuisimamia serikali kutokana na ahadi alizozitoa mh Rais ikiwamo kuunganishwa kwa jimbo la Ngenge katika gridi ya taifa.
Sasa basi sisi kama vijana tunakuahidi mh Mbunge kwamba hautorudi mjengoni tena baada ya 2015!
TUMECHOKA
alipewa takrima
Huyo Focus kwa nini alijitoa dakika za mwisho?? Fikiria, chukua hatua!!!
Wewe kama unajiona unampenda
basi atapata kura yako na ya familia yake kutoka kwao kijunja,lakini
sehemu zote kiziba tumekachoka haka kamama.