alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Mbunge wa Jimbo la Nkasi Mkoa wa Rukwa amemsihi Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli amnyonge na KUMUUA mkandarasi aliyekula pesa za mradi wa Maji wa mji mdogo wa Laela huko Mkoani Rukwa.
Amesema hayo baada ya kupewa nafasi na Mheshimiwa Rais ili aweze kueleza ni kwa namna gani hata yeye asivyoridhishwa na maendeleo ya miradi ya maji Mkoani humo.
'Mheshimiwa Rais kama nikuelezavyo mara zote watu kama hawa ni bora uwanyonge' alisema Mheshimiwa Kessy.
Amesema hayo baada ya kupewa nafasi na Mheshimiwa Rais ili aweze kueleza ni kwa namna gani hata yeye asivyoridhishwa na maendeleo ya miradi ya maji Mkoani humo.
'Mheshimiwa Rais kama nikuelezavyo mara zote watu kama hawa ni bora uwanyonge' alisema Mheshimiwa Kessy.