TANZIA Mbunge wa Muhambwe(Kigoma), Atashasta Nditiye afariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Februari 10

Terrible Teen

JF-Expert Member
May 1, 2017
916
2,632
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mkoa wa Kigoma Ndugu Atashasta Nditiye alipata ajali ya gari juzi Alfajiri Dodoma.

Taarifa ni kuwa ametangulia mbele ya haki mapema leo.

Pumzika vema mzee Nditiye, mtu mwema.

Mhandisi-Atashasta-Nditiye.jpg
Atashasta Justus Nditiye ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Muhambwe Kigoma kwa mwaka 2015 – 2020 na Mwaka 2020 - 2025. Kazaliwa Tarehe 17 Oktoba 1969

Spika Ndugai amesema Marehemu alipata ajali Feb. 10. 2021 Nanenane Dodoma na kupelekwa Hospitali ya Mkoa Dodoma na kuhamishiwa hospitali ya Benjamin Mkapa alikofariki Feb. 12. 2021, Nditiye pia aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Uchukuzi.

 
Safari hii nchi yetu itarudia sana uchaguzi wa wabunge na madiwani, Corona kolabo na Makombora Ya Kienyeji.

Walio dhulumiwa haki zao za ushindi hawajatulia mpaka dakika hii, watu wanakesha kwa kina Sir Ngoma na Nyumba Za Ibada, mmoja mmoja watamchomoa.

Serikali ijipange kwa budget ya kurudia uchaguzi jimbo baada ya jimbo.

NB: Msemo mtakatifu wa kidini kwamba "Dhuluma haidumu, na ikidumu inaangamiza"
 
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mkoa wa Kigoma Ndugu Atashasta Nditiye alipata ajali ya gari juzi Alfajiri Dodoma.

Taarifa ni kuwa ametangulia mbele ya haki mapema leo.

Pumzika vema mzee Nditiye, mtu mwema.


Alishinda kihalali kwenye kura? Kama alishinda kihalali RIP, lakini kama ni hawa walioshinda kwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura, basi apambane na hali yake.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom