Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,515
- 3,042
Kuchochea maanayake nini,hayo ni mambo ya chama kimoja,wakae wayamalize,hamna kitu kibaya kama hasira za watu wanao amini wanaonewa.
duh! Kumbe ili uitwe uchochezi lazima ufanywe na upinzani? Au mi sijakuelewa!