Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaache haya magamba yakamatane na mapoliccm
wewe mbona hujapigania sangara wa ziwa victoria ambao kila kukicha wanasafirishwa kwenda ulaya wao wakiishia kula mapanki tu. acha kuwapotosha watanzaniaHuo mkwara tu watamuachia muda si mrefu. Mkakati wao ni kuwatisha na kuwanyamazisha kabisa wananchi wa Mtwara ili wasiendelee kupigania kufaidika na rasilimali iliyopo katika eneo lao.
Hicho unachokisema inanifanya niamini kwamba kunawatu wanatumika kuchafua serikali kama mtu unaweza kumtetea mbunge muhuni kama murji ambaye anahamasisha vurugu kweli taifa limeingiliwa,polisi kateni mapembe.ni wakati sasa wa wana mtwara kuonyesha makali yao dhidi ya serikali ya CCM!!!kama mbunge kakamatwa ina maana sasa hakuna kiunganishi kati ya wananchi na serikali!!ubabe ubabe tuu
Hahaha hahaha maccm na mapoliccm yote ni kitu kimoja.acheni kuchezea watu akili.
Mkuu umenena kweli ningeweza kukuona ningekupa zawadi mkuu huo ni ukweli mtupu.Ngoja akamatwe! hawa wahindi hawana uchungu na TZ! wanachuma kwetu wanawekeza kwao halafu wanajidai eti wazawa! huyo jamaa ana vita ya kisiasa na wabunge wenzake wa Mtwara ambao wanapanga njama za kumng'oa kwenye ubunge mwaka 2015 na mbunge mmoja mwanamke wa huko huko agombee jimbo la huyo bwana. jamaa hana uwezo ktk ubabe wa kisiasa hususan ktk kupigania maslahi ya wananchi wa jimbo lake. hivyo ili ajihakikishie kushinda ubunge 2015 ndipo anatafuta kupendwa na wananchi wa jimbo lake kwa kuchochea machafuko! sometimes hawa politicians are stupid when it comes to issues of their interest! hawana utu kabisa bali matumbo yao!
bado unatembea na sumu? maana panya wakiona tu sura yako wanatoka nduki
Mapembe yanazidi kukatwa