Mbunge wa Mtwara Mjini akamatwa kwa uchochezi!

i see! wamejivuta muda wote huo wameona hakuna wa kumshushia mzigo,na hapo ndio kwenyewe kilichobaki ni kumvua uanachama,haiwezekani uwe ccm halafu utende kama cdm (kuwatetea wananchi) hii sio sera yetu ccm.....

Kumkamata sio sababu wananchi wamechoka kuburuzwa na hii serikali ya JK ambayo imepoteza dira. Ifike mahali CCM WAELEWE WATANZANIA WAMEWACHOKA. Ukiwa mkweli kwao ni tatizo unaitwa CDM. Wana MTWARA MSIKATE TAMAA SAA YA UKOMBOZI IMEWADIA.
 
Nilishawahi kusema na nitaendelea kusema. Tanzania hatujawahi na hatutawahi (God forbid) tena kuwa na kiongozi wa Serikali bogus and Laissez-faire kama Mh. Mizengo Pinda. Yupo yupo tu with soft touch.

Nina wasiwasi kama serikali inafahamu hasa tatizo hili la sintofahamu liko wapi na chanzo chake ni kipi kati yake na wananchi wa Mtwara.

Serikali inaonekana kuogelea kwenye maji ambayo haijui kina chake na athari yake pale inakaposhindwa kupiga mbizi.

I'm afraid, if things start going out of government iron hand. What 'll be the REPERCUSSION.

Kuna hitajika busara na maalifa zaidi ya IRON HAND kutafuta suruhu ya tatizo ambalo lilikuwa dogo lakini siku zinavyopita, linakuwa kwa serikali kama inapambana na UNKNOWN MONSTER.

Kila mara, when the going gets tough, Waziri mkuu kama mtendaji wa serikali haonekani.
 
Tatizo watu tunapenda kushabikia mambo bila kujua mizizi yake! Mgogoro wa Mtwara una mchanganyiko wa mambo mengi kama masuala ya kisiasa, masuala ya kidini ambayo yafunga ndoa na siasa, masuala ya wachumia tumbo (NGOs), makampuni ya kutafiti na kuchimba mafuta na gesi asilia,nk. mambo mengine tukiyatandaza humu JF tutaanza kutafutana but ukweli upo!
mkuu Mwanza Live, wataka unipe zawadi ya sato wa Mwanza!!! teh..teh...teeeh!

Tatizo unaye mwomba akupe zawadi ya SATO AMECHOKA KAMA WEWE.YEYE AMEZOEA KULA MAPANKI HAO SATO ATAWAONEA WAPI?
 
Iringa mbunge wa ccm kafungwa miezi 10 kwa kutishia mauaji. Mtwara wamemchukua mwenzao. Isijekuwa ile laana ya mwalimu ya wanaokula nyama za watu imeanza kutenda kazi!

Dhuluma ikizidi lazima tuhitilafiane. Huyu mhindi dugu moja lakini yeye alichochea gesi isitoke ili mitu ya Dar inunue gesi ya Somji toka Qatar
 
Rais hawezi kutoa kauli kama ile halafu ikaishia patupu mapembe lazima yakatwe yote na bado.

Ni kweli mapembe lazima yakatwe yote kama ilani ya CCM INAVYOSEMA. Huoni KINANA ALIVYO BIZE KUKATA MAPEMBE YA TEMBO? Yote hyo ni ruhusa toka kwa JK.
 
Nilishawahi kusema na nitaendelea kusema. Tanzania hatujawahi na hatutawahi (God forbid) tena kuwa na kiongozi wa Serikali bogus and Laissez-faire kama Mh. Mizengo Pinda. Yupo yupo tu with soft touch.

Nina wasiwasi kama serikali inafahamu hasa tatizo hili la sintofahamu liko wapi na chanzo chake ni kipi kati yake na wananchi wa Mtwara.

Serikali inaonekana kuogelea kwenye maji ambayo haijui kina chake na athari yake pale inakaposhindwa kupiga mbizi.

I'm afraid, if things start going out of government iron hand. What 'll be the REPERCUSSION.

Kuna hitajika busara na maalifa zaidi ya IRON HAND kutafuta suruhu ya tatizo ambalo lilikuwa dogo lakini siku zinavyopita, linakuwa kwa serikali kama inapambana na UNKNOWN MONSTER.

Kila mara, when the going gets tough, Waziri mkuu kama mtendaji wa serikali haonekani.

Samahani, unaweza kunifafanulia ulichoongea kwa Kiswahili?
 
Nilishawahi kusema na nitaendelea kusema. Tanzania hatujawahi na hatutawahi (God forbid) tena kuwa na kiongozi wa Serikali bogus and Laissez-faire kama Mh. Mizengo Pinda. Yupo yupo tu with soft touch.

Nina wasiwasi kama serikali inafahamu hasa tatizo hili la sintofahamu liko wapi na chanzo chake ni kipi kati yake na wananchi wa Mtwara.

Serikali inaonekana kuogelea kwenye maji ambayo haijui kina chake na athari yake pale inakaposhindwa kupiga mbizi.

I'm afraid, if things start going out of government iron hand. What 'll be the REPERCUSSION.

Kuna hitajika busara na maalifa zaidi ya IRON HAND kutafuta suruhu ya tatizo ambalo lilikuwa dogo lakini siku zinavyopita, linakuwa kwa serikali kama inapambana na UNKNOWN MONSTER.

Kila mara, when the going gets tough, Waziri mkuu kama mtendaji wa serikali haonekani.

Kwa hili naomba nikupe like....mara nyingi kichwa kikiachwa kufanya kazi yake ya kufikiri matokeo huwa kujenga hoja zenye mashiko.

Kimsingi PM na Rais ni tatizo.....they are easily influenced by external forces na wasijue la kufanya kama viongozi!

Salute.......!!
 
Hadi kufikia 2015 huenda kambi zote za urais zikawa hazina wagombea!wote marhumu au wako segerea!MOLA amuepushe babu wetu na zahama hizi!
 
Ningeshaa sana serikali isingekamata huyu jamaa, it was very clear kwamba alikuwa hajihusishi kabisa kutuliza ghasia... wathungu wanasema "Either you are we us or...".

Jeshi la polisi fanyeni kazi zenu kwa utaalamu bila kujali chama, kudos.

Hivi siku hizi ni jukumu la mbunge kutuliza ghasia?
Duuu!, kweli hii ni Kasheshe.
 
Our leadership need to be taught some fundamentals of CHANGE MANAGEMENT while running projects which have public interests...I wonder if some leaders I known and known to have "thick" head can understand and appreciate this.
 
Wafu watazika wafu wenzao kwa maana hiyo tuwaache wafu wazikane wenyewe
 
Msidanganyike,wanachofanya ni kujaribu kubalance mambo ili kesho na kesho kutwa akikamatwa kiongozi yoyote wa CHADEMA mshindwe kuhoji.

Hatudanganyiki!
Unachoongea kinanifanya niamini bila shaka kuwa hata chadema wanahusika kwa mia asilimia unachofanya ni kujihami au kuogopesha vyombo vya dola visifanye kazi yake kwa hilo umenoa dola itawafuata popote mlipo hamuwezi kufanya uchochezi kama huu then muachwe.
 
Ukiona hivyo jua kuna sehemu pesa inapigwa. Kama si BOT, mtoto wa mfalme au Tembo wa Kinana
 
Hapa bado pembe lenyewe MEMBE tutayaona mambo mwaka huu

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
Back
Top Bottom