Mbunge wa Moshi Mjini (CHADEMA), Jaffary Michael asema kiongozi bora hupimwa kwa uadilifu na uimara

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
Mbunge wa Moshi Mjini (CHADEMA), Mh. Jaffary Michael katika Waraka wake alioutoa Jana kwa umma, alisema kuwa, kinachofanya kiongozi aonekane bora kuliko mwingine ni uadilifu, usminifu, uthabiti na uimara katika kusimamia kodi za wananchi na rasilimali nyingine ili ziwaletee wananchi maendeleo. Mbunge huyo ambayo ni Waziri Kivuli wa Wizara ya TAMISEMI, Kambi Rasmi ya Upinzani alieleza kuwa, ubora wa Rais, pamoja na Wabunge na Madiwani, utapimwa kwa jinsi walivyoweza kusimamia kodi ya wananchi kuleta maendeleo kwenye maeneo yao ya uwakilishi.
Jaffary aliwaasa wananchi kuwa wakati wa uchaguzi, wapime uaminifu wa viongozi wao katika kusimamia kodi zao na baada ya kuwachagua wapime ubora wao kwa jinsi wanavyoweza kusimamia rasilimali za wananchi katika kuleta maendeleo.
Sasa kama hata Wabunge wa upinzani wanalielewa hili, mbona Uongozi wa CHADEMA unawadhihaki wananchi? Hivi kweli ilikuwa busara kwa CHADEMA kutoa taarifa ya Chama chao kupinga suala la Makinikia? Je walitaka kutuambia nini umma, kwamba kwa sababu Serikali ya CCM haijawashirikisha vyema basi ni bora Taifa lishindwe kwenye majadiliano?
Kosa ambalo CHADEMA walilifanya juzi, ni sawa na kosa linalofanywa na mvulana kumtongoza msichana, siku ambayo amefiwa na mtu muhimu kwake, hapo unategemea nini?
 
Hao chadema wameshachanganyikiwa,kila mtu ni msemaji
Mbowe anaongea,Lissu anaongea,Mdee,anaongea,wema anaongea na Sumaye nae kaongea.
Wamekosa siasa mbadala,sasa ni mihemko tu,sijawahi kuona tamko bovu kutoka chadema kama la juzi,na kama kawaida limekosa mvuto kutoka hata kwa wafuasi wao humu.
 
B4 2015 nilikipenda sn hk chama japo sikua mwanachama wa chama chochote cha siasa. Kilitoa hoja za msingi khs mustakabali wa Taifa letu. Magu anafanya waliyokua wao wanapinga then wao ndo wamegeuka ccm ya zamani. Toka moyoni sitaki kusikia neno cdm wala kuona viongozi wao. Wamekua wapuuzi sana na ndo kisa madiwani wengi wanakihama hicho chadomo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Moshi Mjini (CHADEMA), Mh. Jaffary Michael katika Waraka wake alioutoa Jana kwa umma, alisema kuwa, kinachofanya kiongozi aonekane bora kuliko mwingine ni uadilifu, usminifu, uthabiti na uimara katika kusimamia kodi za wananchi na rasilimali nyingine ili ziwaletee wananchi maendeleo. Mbunge huyo ambayo ni Waziri Kivuli wa Wizara ya TAMISEMI, Kambi Rasmi ya Upinzani alieleza kuwa, ubora wa Rais, pamoja na Wabunge na Madiwani, utapimwa kwa jinsi walivyoweza kusimamia kodi ya wananchi kuleta maendeleo kwenye maeneo yao ya uwakilishi.
Jaffary aliwaasa wananchi wakati wa uchaguzi, wapime uaminifu wa viongozi wao katika kusimamia kodi zao na baada ya kuwachagua wapime ubora wao kwa jinsi wana Howe za kusimamia rasilimali za wananchi katika kuleta maendeleo.
Sasa kama hata Wabunge wa upinzani wanalielewa hili, mbona Uongozi wa CHADEMA unawadhihaki wananchi? Hivi kweli ilikuwa busara kwa CHADEMA kutoa taarifa ya Chama chao kupinga suala la Makinikia? Je walitaka kutuambia nini umma, kwamba kwa sababu Serikali ya CCM haijawashirikisha vyema basi ni bora Taifa lishindwe kwenye majadiliano?
Kosa ambalo CHADEMA walilifanya juzi, ni sawa na kosa linalofanywa na mvulana kumtongoza msichana, siku ambayo aliyofiwa na mtu muhimu.

Sijaona mahali alipomtaja JPM mpaka mwisho wa huo WARAKA
 
Hao chadema wameshachanganyikiwa,kila mtu ni msemaji
Mbowe anaongea, Lissu anaongea, Mdee,anaongea, wema anaongea na Sumaye nae kaongea.
Wamekosa siasa mbadala,sasa ni mihemko tu,sijawahi kuona tamko bovu kutoka chadema kama la juzi,na kama kawaida limekosa mvuto kutoka hata kwa wafuasi wao humu.
JPM anaongea, PM anaongea, Polepole anaongea, Msukuma anaongea, Bulembo anaongea,
 
Wahurumieni chadema. Kila mtu anakuja na lake. Ama huyu nae keshanunuliwa?
 
T

Tueleze alisimamiaje upande wa Acacia, kwa nn mnapenda kuropokaropoka tu humu ili mradi uonekane ume-post. Kama huna hoja kaa kimya hautakuwa umepoteza chochote.
Kwenye hoja ya makinikia aliongea yafuatayo:
  • kilichofanywa kwenye makinikia ni papara za Rais na wabunge ambao nao walilishwa papara;
  • Kumuua mwizi bila kumuonyesha jinsi gani umemuua ni fedheha;
  • TRA tafuteni fedha siyo za kutia aibu; Ina
  • Serikali iweke wazi ripoti ya makinikia wachumi wazipitie.
Kutokana na hapo, ni wazi: CHADEMA hawakubaliani na uamuzi wa Serikali juu ya kukamatwa kwa makinikia; CDM hawakutaka tupime madini peke yetu bali tupime na watuhumiwa ili kujua kama wanatuibia; CDM wanaiona TRA ni chombo cha wezi kinatafuta mapato ama kupanga viwango vya kodi bila weledi; na pia kuwa Serikali inadanganya kwenye ripoti ndio maana haijaweka wazi ripoti.
Sasa Chama kikubwa kama hichi ambacho ndicho tulikuwa tukiaminishwa kuwa ndio wenye uchungu na rasilimali za nchi hii kwa nini kinatetea wezi? Je kuna mtu tayari ameshapitia udhia? Tamko hilo hawajui linawapa nguvu Barrick kwa sababu Wataona kuwa Watanzania hao hawamwamini Rais wao na kwamba Taasisi ya Urais imekosa legality na tegitimacy ya kuwafanya walipe? Nasikitika sana.
 
Kwenye hoja ya makinikia aliongea yafuatayo:
  • kilichofanywa kwenye makinikia ni papara za Rais na wabunge ambao nao walilishwa papara;
  • Kumuua mwizi bila kumuonyesha jinsi gani umemuua ni fedheha;
  • TRA tafuteni fedha siyo za kutia aibu; Ina
  • Serikali iweke wazi ripoti ya makinikia wachumi wazipitie.
Kutokana na hapo, ni wazi: CHADEMA hawakubaliani na uamuzi wa Serikali juu ya kukamatwa kwa makinikia; CDM hawakutaka tupime madini peke yetu bali tupime na watuhumiwa ili kujua kama wanatuibia; CDM wanaiona TRA ni chombo cha wezi kinatafuta mapato ama kupanga viwango vya kodi bila weledi; na pia kuwa Serikali inadanganya kwenye ripoti ndio maana haijaweka wazi ripoti.
Sasa Chama kikubwa kama hichi ambacho ndicho tulikuwa tukiaminishwa kuwa ndio wenye uchungu na rasilimali za nchi hii kwa nini kinatetea wezi? Je kuna mtu tayari ameshapitia udhia? Tamko hilo hawajui linawapa nguvu Barrick kwa sababu Wataona kuwa Watanzania hao hawamwamini Rais wao na kwamba Taasisi ya Urais imekosa legality na tegitimacy ya kuwafanya walipe? Nasikitika sana.
Kutoa madai yasiyo na kichwa wala miguu ni kulidhalilisha Taifa!! Hivyo lazima baadhi yetu kujitenga na upuuzi wa TRA ili Taifa lionekane kuwa baadhi yetu tuko makini!!
 
Mbunge wa Moshi Mjini (CHADEMA), Mh. Jaffary Michael katika Waraka wake alioutoa Jana kwa umma, alisema kuwa, kinachofanya kiongozi aonekane bora kuliko mwingine ni uadilifu, usminifu, uthabiti na uimara katika kusimamia kodi za wananchi na rasilimali nyingine ili ziwaletee wananchi maendeleo. Mbunge huyo ambayo ni Waziri Kivuli wa Wizara ya TAMISEMI, Kambi Rasmi ya Upinzani alieleza kuwa, ubora wa Rais, pamoja na Wabunge na Madiwani, utapimwa kwa jinsi walivyoweza kusimamia kodi ya wananchi kuleta maendeleo kwenye maeneo yao ya uwakilishi.
Jaffary aliwaasa wananchi wakati wa uchaguzi, wapime uaminifu wa viongozi wao katika kusimamia kodi zao na baada ya kuwachagua wapime ubora wao kwa jinsi wana Howe za kusimamia rasilimali za wananchi katika kuleta maendeleo.
Sasa kama hata Wabunge wa upinzani wanalielewa hili, mbona Uongozi wa CHADEMA unawadhihaki wananchi? Hivi kweli ilikuwa busara kwa CHADEMA kutoa taarifa ya Chama chao kupinga suala la Makinikia? Je walitaka kutuambia nini umma, kwamba kwa sababu Serikali ya CCM haijawashirikisha vyema basi ni bora Taifa lishindwe kwenye majadiliano?
Kosa ambalo CHADEMA walilifanya juzi, ni sawa na kosa linalofanywa na mvulana kumtongoza msichana, siku ambayo aliyofiwa na mtu muhimu.
Viongozi wa chadema wanawadhihaki wananchi kivipi ? It seems hujamuelewa mbunge wewe
 
HISTORIA IKO WAZI WAASISI WA CHADEMA NA IMANI YA CHADEMA NI UCHUMI HURIA. BABA WA TAIFA ALISHINDANA NA MZEE MTEI LKN ALISALIMU AMRI MWENYEWE!. HIVYO CDM HATUWEZI KUUNGA MKONO SERIKALI ILIYOINGIA MIKATABA MIBOVU KWA MASLAHI YA CCM NA VIONGOZI WAKE NA PIA SERIKALI ILIYOUZA VIWANDA NA NYUMBA ZA SERIKALI KWA MASLAHI YAKE NA VIONGOZI WAKE!. TUNATAKA HAKI ITENDEKE NCHI IPATE HALI YAKE NA WAWEKEZAJI WAPATE HAKI ZAO.
 
Back
Top Bottom