Mbunge wa Mlimba, Suzan Kiwanga amwaga misaada ya mamilioni jimboni. Vimo vifaa vya kuzuia Virusi vya Corona

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,641
218,089
FB_IMG_1587142787207.jpg

FB_IMG_1587142772070.jpg

FB_IMG_1587142779714.jpg


Hakika Kutoa ni moyo tu na wala si utajiri. Wakati Wabunge wengi wa CHADEMA wakijitokeza wazi wazi kusaidia wananchi, wabunge wa chama kimoja wameanza kulogana na kubambikiana kesi wakigombea majimbo akiwemo mmoja ambaye jimbo la DSM limemshinda na kukimbilia Mkoa wa Mara ambako hata hivyo hana nafasi.
 
Viongozi wanatakiwa wawe msitari wa mbele sio wakae msitari wa nyuma halafu wanatoa matamko ya kusali kwa siku tatu
 
Back
Top Bottom