Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Kura alimpa mama yako labda mtu alikuta watanzania wana maisha Bora yeye akahakikisha wanakuwa maskini.Abomoe nani kwamba hatambui mchango wa wa Rais wetu hivi kuna watu bado mmefungwa mpaka akili hata kuona hamuoni?
Huamini alichokifanya Rais wetu kweli? Na kura ulimpa?