Mbunge wa Mlimba, Godwin Kunambi: Tujenge 'Monument' ya kumuenzi Hayati Dkt. Magufuli jijini Dodoma

Yaani Libunge linafika mbeele ya bunge likiwa limeshiba kodi za wananchi, lakn katu halizungumzii matatizo ya wananchi ..Linazungunza ujingaujinga
 
Kazi zake na matokeo ya hizo kazi! Ndo inamfanya aseme hivyo. Sasa kikwete ajengewe ndege inayoenda angani na kusema rais wa angani au?? JPM amepiga kazi ndugu! Kama alikutumbua! Pole kwa hilo. Na hauna haja ya kulaumu! ni vyema ukaangalia ni wapi ulikosea.
Muwege na shukran basi ingelikuwa si Kikwete kujenga UDOM zile wizara zilizopata hifadhi pale na ile hospitali ya BM mgevipata wapi.... ingelikuwa si juhudi za JK ile terminal 3 JNIA, Mwendokasi na baadhi ya miradi mingine inayoimbwa kuwa mwendazake ndio aliijenga mgeiimbia wapi? Ingelikuwa si JK kumuibua mwendazake haya makelele yenu yangelitoka wapi...
Msifanye tukahoji maana tulizuiwa kuhoji ili sote tuwe kama mazwazwa waimbao wimbo mmoja...
Mnatarajia nini toka kwa WABUNGE WA HISANI...
Mwacheni mwendazake apumzike
 
Back
Top Bottom