Syston
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 243
- 339
Naandika uzi huu kwa masikitiko sana. Mheshimiwa kabla ya kuwa mbunge alikuwa mkuu wa mkoa Manyara. Wakati huo alifanya ujenzi na akampa kazi ya nondo kijana mmoja pale Misungwi. Yuke kijana alipata loss akashindwa kumaliza ile kazi. Cha kusikitisha ni kuwa Mkuu wa mkoa wa Manyara kwa wakati huo aliagiza askari wa mkoa Mwanza kuweka kufuli katika ofisi za kijana yule.
Pale Misungwi kuna kituo cha Polisi lakini mheshimiwa alitumia cheo kuagiza askari wa mkoani. Kijana yule ana mke na watoto wanamtegemea unapomfungia ofisi unamaanisha nini?
Kama unamdai njia pekee ya kukulipa ni akifanya kazi we unatumia kiburi na jeuri ya madaraka kumfungia ofisi.
Halafu bila aibu ukarudi kuomba kura za ubunge hapohapo. Hii kupita bila kupingwa ni dhuruma kubwa iliyotesa watu wengine.
Kama Mbunge unawafanyia hivyo watu wako itakuwaje kwa watu baki? Ndio tunajua vijana wana changamoto zao lakini wewe yule ni kama mdogo wako. Familia zenu zina historia na isitoshe enzi unakaa vijiweni hao ndio vijana waliokupa kampani.
Badilika nisiandike sana nikakutukana maana unakera sana.
Mbunge gani unamfungia ofisi mtu kisa unamdai tena jimboni kwako.
Pale Misungwi kuna kituo cha Polisi lakini mheshimiwa alitumia cheo kuagiza askari wa mkoani. Kijana yule ana mke na watoto wanamtegemea unapomfungia ofisi unamaanisha nini?
Kama unamdai njia pekee ya kukulipa ni akifanya kazi we unatumia kiburi na jeuri ya madaraka kumfungia ofisi.
Halafu bila aibu ukarudi kuomba kura za ubunge hapohapo. Hii kupita bila kupingwa ni dhuruma kubwa iliyotesa watu wengine.
Kama Mbunge unawafanyia hivyo watu wako itakuwaje kwa watu baki? Ndio tunajua vijana wana changamoto zao lakini wewe yule ni kama mdogo wako. Familia zenu zina historia na isitoshe enzi unakaa vijiweni hao ndio vijana waliokupa kampani.
Badilika nisiandike sana nikakutukana maana unakera sana.
Mbunge gani unamfungia ofisi mtu kisa unamdai tena jimboni kwako.