andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,709
- 119,603
Nakumbuka miaka ya 90 mzee Mwanjisi akiwa anapiga safari za Kyl - Mby na chai maharage yake, yeye akiwa dereva mimi na mwanae Edgar tukiwa washika bomba nyuma, alikuwa hapendi kabisa kusikia mambo ya akina sijui Maparara, Cheo au kujadili mambo ya siasa kwenye gari yake, hata kama ni abiria anakushusha na nauli alikuwa harudishi.Iwe kwa kabali iwe ndumulange jimbo tunachukua saa 12 jion siku hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Utukufu mdogo wangu, soma, fanya shughuli zako, unaobishana nao ndio wadau wako. Tumia jina la Mwanjisi kujiimarisha