Mbunge wa Mbarali adai yanayomkumba ni visasi

Nairobian

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
873
2,277
Mbunge wa mbarali Haroon PirMohamed amedai kwamba kesi feki dhidi yake ni hasira na Visasi vya watawala dhidi yake, kwani alikuwa na ukaribu na utawala uliopita. Hata kesi yake ya ubunge anadai Kuna mkono wa wana CCM.

Lakini hashtuki maana hakuna watakalolifanya Kwa sababu vyombo vya dola na mahakama vinamjua kuwa mtu Safi. Kesi ya Ubunge tutashindana, na hii ya ujangili nalo tutalishinda kwani ni tuhuma na ushahidi wa kupandikiza.

Pirmohammed alikuwa akiongea na wananchi wake waliomshimamisha njiani kumpa pole kutokana na familia yake kuhusu kuhusishwa na ujangili.
 
Mmmmmh

Wapi walimsimamisha? na picha zipo wapi tuone?

Pia mbona hajamuongelea mtoto wake?

Naona unataka kujisafisha ila habari wengine akina sisi tinasikiliza zile, sababu hakuna moshi bila moto.
 
I don't believe on the existence of "The Untouchables" in Tzd.

No matter the case, poaching is deleterious and irreversible action against our elephants. Wake up you people and fight this malignant cancer, expose the culprits no matter the risk. Otherwise you will be cursed by your descendants.
 
Mbunge wa mbarali Haroon PirMohamed amedai kwamba kesi feki dhidi yake ni hasira na Visasi vya watawala dhidi yake, kwani alikuwa na ukaribu na utawala uliopita.
Kesi feki? Ile faini ya mil. 138 ilikuwa feki?

Hasira ya watawala, Magufuli? au yupi.

Nilikuwa karibu na utawala uliopita: Nimeelewa kwa nini Faizafoxy anakutetea kwa nguvu.
 
Kuna mdau mmoja jana alituambia familia ya huyu jamaa wapo wengi sanaa .nazidi kukubali kauli yake maana nawaona tuu nguvu wanayotumia kujisafisha na wengine mpaka kufungua uzi kabisa wakujifanya eti huyu jamaa anapendwa sana na raia wake .
 
Kuna mdau mmoja jana alituambia familia ya huyu jamaa wapo wengi sanaa .nazidi kukubali kauli yake maana nawaona tuu nguvu wanayotumia kujisafisha na wengine mpaka kufungua uzi kabisa wakujifanya eti huyu jamaa anapendwa sana na raia wake .
Mkuu n familia kubwa sana afu ina mpunga sana wameivest mpaka south Africa huu ubunge yawezekana n geresha tu
 
Watawala wepi nyie waarabu mnachukulia udhaifu wetu wa ujinga kulimbikiza mali haramu,Magufuli atawaonyesha cha mtemakuni
Mkuu jamii ya kitanzania (Waafrica) tusipoamka sasa hivi tutaoendelea kuwa mazoba. Hawa waraabu, wahindi na wazungu ni wa hovyo sana. Nenda nchi zao uone kwa ngozi yako utakvyo nyanyaswa. Vyombo vyetu vya dola ndivyo vya kupewa lawama. Wanawabeba hawa wapuuzi na kuwaonea watanzania wenzao kwa kuwabambikia kesi. Angalia kwa swala kama hili angekuwa mtanzania mweusi tena asiye na jina tungekuwa tumeishasikia mengi kwenye media. Lakini wanawalinda hawa waarabu na wageni. Mfano mdogo tu Kinana mie nimemfahamu tokea miaka ya 80 wakifanya biashara ya meno ya tembo na ndugu yake mmoja akiitwa Abdilah Hakimu. Huyu Abdilah Hakimu alikuwa akikaa pale Chato, wakiwa na kikundi cha vijana waliokuwa wakiua tembo kwenye pori la Burigi, pamoja na Matabe (wakazi wa Chato/Biharamulo) wanayajua mapori haya. Kipindi hicho walikuwa wakiuwa tembo meno yanahifadhiwa Kwa mzee mmoja (Kitengure) akiishi Nyamirembe. Haya meno ya tembo yalikuwa yakisafirishwa usiku kwa kutumia Malori ya Chato Ginnery na kusindikizwa na askari kutoka kituo cha Nyamirembe polisi (askari Jovin na wenzake wamefanya hii kazi sana). Sasa shangaa leo hii Kinana ni nani nchi hii?


Kwa hiyo kuhusu hili la Mbarali, ni dhahiri kabisa kuwa vyombo vya dola vinaulinda mfumo wa Ujangiri. Na majangiri wanawajua fika. Lakini kwa kuwa na wao niwanufaika ndo maana unaona kigugumizi.
 
Unajitetea mbona HSC walikuwa na ukaribu na utawala uliopita na mpaka sasa wameweza Ku maintain ukaribu huo? Kwanini wakuandame wewe una nini?
 
hawa warabu wa kiburushi kazi yao kubwa ni ujangiri hilo halipingiki kwa hapa tanzania. serikali ichukue jukumu la kuwachunguza haswa wanapatikana huko mbalari na wilaya ya igunga mkoani Tabora. hizo ndio dili zao asianze kulialia km yatima pamba....fu zake
 
Back
Top Bottom