tzkwanza
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 1,568
- 3,604
YAANI HADI AIBU, NDIO MAANA ANAJIITA mUNGU...ETI NAPE KASHATUBU NAWASUBIRI NA WENGINE WAJE WATUBU.Kumbe magufuli ataishi milele ?.eti atawale milele.watu ni wapumbavu sana tanzania
YAANI HADI AIBU, NDIO MAANA ANAJIITA mUNGU...ETI NAPE KASHATUBU NAWASUBIRI NA WENGINE WAJE WATUBU.Kumbe magufuli ataishi milele ?.eti atawale milele.watu ni wapumbavu sana tanzania
Rais Magufuli ataongezewa mihula mingine miwili 2025 that is for sure!Deo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Kuna mistari ya bible tajiri mmoja alikua busy kutafuta Mali kujaza ktk ghala ili baadae aje astarehe na kula. Yesu akamwambia mpumbavu ww bwana wa majeshi usiku wa Leo atakuja ichukua roho yako Na hivyo utaviacha. Jiwekee hazina mbinguniDeo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Hivi anajua maana ya neno"milele" kweli!! Kwanini asiseme awe rais wa maisha badala ya kutumia neno milele.Deo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Sasa wewe unafikiri rangi ya kijani inawakilisha nini!Kumbe muda wote huo tunawaona kama binadamu, kumbe ni kizazi cha nyani?
CCM ni balaa sana. Mnaongozwa na manyani na mpo comfortable tu...
MAOMBI MAALUM YANAHITAJIKA
Huyo mbunge anajipendekeza na mbaya historia yake imajulikana hivyo anafanya vile kwa kuwa anajua maovu yake ya nyuma so he is seeking hideousNimekumbuka neno linalo sema boss hanuniwi
utakuja kufumuliwa malinda wewe!Ndio naunga mkono hoja maana CCM na jpm ndio mpango mzima
State agent
Ndio naunga mkono hoja maana CCM na jpm ndio mpango mzima
State agent
labda aitawale familia yake
Mkuu acha tu. Umenifurahisha ulichoandika hiyo mUNGU. Maana ina maana si yule wa MILELE. ILA WAJUE KUWA MANGUFULI NI MAUA YATANYAUKA TU NA AWEZI ISHI MILELE.MAANA NI MWANADAMU ATATOWEKA KAMA WENGINE. Sote tutapita.YAANI HADI AIBU, NDIO MAANA ANAJIITA mUNGU...ETI NAPE KASHATUBU NAWASUBIRI NA WENGINE WAJE WATUBU.
Naunga mkono hoja ila isiwe milele bali tumuongezee mzee baba MITANO TENA, hilo halina ubishiDeo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Yameanza niliyokuwa nayawazaDeo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Na kuwagawia puri maselaMoja wapo ya umaarufu wa huyu Mbunge Deo Sanga "Jah People" pale Makambako ni Kuvuta Bangi.
Bora hii Bangi ya Bwana Sanga ina stim nzuri kwa Mustakabali wa nchi yetu. Magufuli 10 tena.Moja wapo ya umaarufu wa huyu Mbunge Deo Sanga "Jah People" pale Makambako ni Kuvuta Bangi.
Huyu mtu naomba wamfikishie taarifa zangu kwamba 2025 ni zamu yangu. Naomba tafadhali asijaribu tena kuniwekea ukauzibe wa namna hiiDeo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele