Bangi mbaya sanaDeo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Akuoe kabisaNdio naunga mkono hoja maana CCM na jpm ndio mpango mzima
State agent
Alietuhumiwa kuvuta bangi..Deo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Siyo watu wapumbavu sana Tanzania bali maccm ni mapumbavu sana.Kumbe magufuli ataishi milele ?.eti atawale milele.watu ni wapumbavu sana tanzania
Atawale milele?ina maana ay)amltakuwa mungu wa pili sasa .hivi huyo "mbunye"wa makambako anajua maana ya milele?Deo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Katika watu ambao watabeba lawama kubwa katika nchi hii ni JK. Haya yote yanayotokea yeye kayasababisha. Kuitupa kapuni rasimu ya Katiba mpya iliyotokana na maoni ya Watanzania wenyewe ni dhambi kubwa na ndiyo imezaa hii sintofahamu tunayoshuhudia sasa.Kuna mambo mengine unabidi ucheke tu
Huwa najiuliza JK alijitahidi kukuza maisha ya Mtz mbona hawa wapuuzi hawakusema aendelee milele? Ipo shida na anayesifiwa kuzidi Mungu mbona hakemei yupo anajichekeshchekesha ni kwamba anawatuma
Mwisho wa hii awamu si mzuri nadhani tuanze kuwahurumia kwani yanayokuja mbele yao WATAJUTA but it will be too late
Lenye Mwanzo halikosi Mwisho
Mungu aonekane kwa haya nchi inapitia
Kuliko halima mdeeMoja wapo ya umaarufu wa huyu Mbunge Deo Sanga "Jah People" pale Makambako ni Kuvuta Bangi.
Deo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Zaid ya ulozi hata la saba hajafikaDeo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Ni sawa tu ila tukumbuke historia walikuwepo kina Kamuzu Banda, Mobutu, Mengistu Haile Mariam na wengineo wa kariba hiyo ni vipi ulikuwa mwisho wao?Deo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Huwa tunapoandika "wazee wa vigelegele na viunu" huwa tumemaanisha maana wao vichwa na bongo viko likizo matumbo kazini...Huyu si ndiye aliyekuwa anasakata Rhumba wakati ile katiba mpya pale Bungeni inapitiswa wakati wa utawala wa Kikwete? Kwa hapa nafikiri hata ukimuuliza hili la katiba katika bunge lile nini kilizungumziwa atakujibu kuwa akumbuki. Wenye kuwa na ile Clip tafadhali tupieni humu.
Kamanda hili la kuvuta bange Mbowe hachomokiDeo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele
Hahahahaha..Yawezekana hata alivyotoa hayo maoni alikuwa amevuta tayari
Deo Sanga ama Jah People ( aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma ) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa ccm Dr Magufuli awe Rais wa milele