jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,822
- 7,592
Mh mbunge wa mafia kwa kweli kaniacha hoi sana, kwa kweli yeye ndiye star wetu kwa kushirikiana na wananchi kupunguza maafa na majanga yaliyotokea.
Kudos Mh M Shah.
H@ki Ngowi: Mbunge Wa Mafia Mkoani Pwani Mheshimiwa Abdulkarim Shah Akodi Boti na Kushiriki Kuokoa Wahanga Wa Mafuriko Jijini Dar es Salaam
Kudos Mh M Shah.
H@ki Ngowi: Mbunge Wa Mafia Mkoani Pwani Mheshimiwa Abdulkarim Shah Akodi Boti na Kushiriki Kuokoa Wahanga Wa Mafuriko Jijini Dar es Salaam