Bwana Mpina natumai utakumbukwa kama mmojawapo wa mawaziri waliosimamia majukumu yao kwa staili ya ukatiri, uvunjaji wa sheria na haki za binadamu. Ulijitwisha kazi za mkamataji, mtoa hukumu na mtekelezaji hukumu ktk kupambana na wavuvi n.k. it was impunity at worst level in our history. Hata Rais Magufuli pmj na ukali wako aliamua kukupumzisha unceremoniously ktk uteuzi wa mawaziri.Mwakilishi wa Wananchi wa Jimbo la Kisesa wilayani Meatu mkoa wa Simiyu atoa neno kwa wanahabari.
Kuhusu ATCL unapotosha. Ripoti ya CAG imebaini hasara kwa mlengo wa taratibu za kiuhasibu. Period! Hii habari ya kusema kampuni zote za ndege duniani hupata hasara siyo jukumu lao. Lkn itakumbukwa pia tumekuwa tukiambiwa eti atcl inazalisha faida mpk kutoa gawio serikalini! Really??