Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo ninatazama bunge hapa. Baadhi ya wabunge wanaomba kura kwenye post katika institutions mbalimbali. Dah wale wanaojieleza kwa kingereza mpaka naona aibu. Kingereza kibovu kibovu kibovu...hakuna flow katika kujieleza hata wale wanaojieleza kwa kiswahili. Wengine wanatetemeka. Dah nchi yetu bado sana kama hawa ndo krimu yetu!???? Dah mpaka nimeona aibu ingawa niko mwenyewe ndani. Hawa ndo wanatakiwa kuleta mabadiliko katika jamii yetu?
Nipo ninatazama bunge hapa. Baadhi ya wabunge wanaomba kura kwenye post katika institutions mbalimbali. Dah wale wanaojieleza kwa kingereza mpaka naona aibu. Kingereza kibovu kibovu kibovu...hakuna flow katika kujieleza hata wale wanaojieleza kwa kiswahili. Wengine wanatetemeka. Dah nchi yetu bado sana kama hawa ndo krimu yetu!???? Dah mpaka nimeona aibu ingawa niko mwenyewe ndani. Hawa ndo wanatakiwa kuleta mabadiliko katika jamii yetu?
Wanajamvi,
Kwa kile kinachoendelea bungeni, wabunge wanaomba uwakirishi kwenye forum mbalimbali. Kwa upande wa mpambano wa Mh. Jaffo wa kisarawe mambo yamekuwa magumu kutokana na kutumia nguvu nyingi kuumba sentensi kwa kimombo kiasi cha kuwa na Kigugumizi.
Wabunge wamemuogopa Mh. Retisia Mageni Nyerere kunyoosha kimombo.
My take.
Kama lugha inakupiga chenga kwanini ung'ang'anie?
Very interesting to Lolensia! Na naambiwa ana hold masters!
Huyu mbunge aneitwa lolensia ni viti maalum au amechaguliwa na wananchi,daaaaaah!
Muongozaji ambae ni Madam Spika kaanza kwa kiingereza lakini sentensi (distribute ballot papers please) imemshinda ikabidi arudi Pugu Road..... Igiliza sauti yake kutengeneza sentensi ya kiswahili kwa kubadilisha niliyoiweka kwenye mabano hapo juu.
Huyu mbunge aneitwa lolensia ni viti maalum au amechaguliwa na wananchi,daaaaaah!
kwani kujua kingereza ndo kutaleta mabadiliko???
Mbona wabunge wa china hawakijui na wana maendeleo?
Japo ni vyema kujua kingereza vizuri lakini haimaanishi kuwa eti ndo maendeleo yatakuja
kwanza bunge linaendeshwa kwa kiswahili!
Huyu mbunge aneitwa lolensia ni viti maalum au amechaguliwa na wananchi,daaaaaah!
I am listening to Lolensia. Its interesting. Kuna haja ya kureview curriculum yetu ili kuona ni namna gani tunaweza kuboresha somo la kiingereza katika nchi yetu. At a master level kushindwa kujieleza kwa kiingereza, kwa kweli ina mengi ya kutueleza kuhusu elimu yetu.
Nchi maskini kama Tanzania ambayo ni dependent kwa kila kitu watu wake wanaongelea kuboresha Kiswahili??? Kwani Nyerere hakuona thamani ya Kiswahili wakati huo hadi akapendekeza language of instructions kuanzia secondary iwe ni kiingereza?hatuhitaji kuboresha kiingereza ila kuboresha kiswahili