mpenda JF-Expert Member Jul 21, 2010 250 22 Nov 7, 2010 #1 Jamani wana jf naomba mnijuze; kule kilombero alishinda nani? Ccm au chadema?
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,385 Nov 7, 2010 #2 mpenda said: Jamani wana jf naomba mnijuze; kule kilombero alishinda nani? Ccm au chadema? Click to expand... unataka kujua nani alishinda au nani alitangazwa kuwa mbunge? si unajua kuna baadhi ya wabunge hawakushinda ila wakatangazwa kuwa wabunge?
mpenda said: Jamani wana jf naomba mnijuze; kule kilombero alishinda nani? Ccm au chadema? Click to expand... unataka kujua nani alishinda au nani alitangazwa kuwa mbunge? si unajua kuna baadhi ya wabunge hawakushinda ila wakatangazwa kuwa wabunge?
Fabolous JF-Expert Member Sep 23, 2010 2,509 2,695 Nov 7, 2010 #3 Imeshinda Chadema ila aliokabidhiwa hati ya ubunge na msimamizi wa uchaguzi ni mgombea wa ccm!
Amigo Senior Member Mar 7, 2009 150 3 Nov 7, 2010 #4 Na hii nasikia imefanywa hivyo kwa ajili kulinda msilahi ya wakubwa katika kiwanda cha Sukari hamna kitu kingine.
Na hii nasikia imefanywa hivyo kwa ajili kulinda msilahi ya wakubwa katika kiwanda cha Sukari hamna kitu kingine.