Elections 2010 Mbunge wa kilombero

mpenda

JF-Expert Member
Jul 21, 2010
250
22
Jamani wana jf naomba mnijuze; kule kilombero alishinda nani? Ccm au chadema?
 
Jamani wana jf naomba mnijuze; kule kilombero alishinda nani? Ccm au chadema?

unataka kujua nani alishinda au nani alitangazwa kuwa mbunge? si unajua kuna baadhi ya wabunge hawakushinda ila wakatangazwa kuwa wabunge?
 
Imeshinda Chadema ila aliokabidhiwa hati ya ubunge na msimamizi wa uchaguzi ni mgombea wa ccm!
 
Na hii nasikia imefanywa hivyo kwa ajili kulinda msilahi ya wakubwa katika kiwanda cha Sukari hamna kitu kingine.
 
Back
Top Bottom