Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Habari ambazo zimenifikia mimi Hivi Punde kutoka kwa Mnyetishaji wangu ndani ya CHADEMA ni kwamba, Mh John Mnyika , Mbunge wa Kibamba ( CHADEMA ) ataongea na waandishi wa habari wakati wowote kuanzia jumatatu ya October 15,2018.
Atakuwa na Mh. Joshua Nassari na Joseph Haule, wote kutoka CHADEMA.
Mbowe atakula nyama zake.
Muda utaongea.
Atakuwa na Mh. Joshua Nassari na Joseph Haule, wote kutoka CHADEMA.
Mbowe atakula nyama zake.
Muda utaongea.