joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Hili liwe ni fundisho kwa wakenya wengi ambao hawajatembea na kuona mambo yabayofanyika nje ya nchi yao, hata Tanzania. Wakenya wengi wamekua wakitawaliwa na ujinga wakudhani kwamba Kila wanachoambiwa na TV zao ni sahihi, wengi hawatembei na kujionea. Karibuni wakenya mje mjifunze dunia inavyoendeshwa" Kenyans wake up"