joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Wakenya mbona mnajichanganya? Hii katiba ambayo mlisema ndiyo bora, mbona inasemekana ni katiba inayokandamiza demokrasia? Au mnajenga hoja ya kuandika katiba zingine ili wajanja waendelee kupiga pesa?