Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Sintofahamu Karagwe;
Taarifa nilizopata hivi punde kutoka Karagwe ni kuwa mbunge wa sasa Mh. Gosbert Blandes amejitoa katika kinyanganyiro cha ubunge CCM,muda mchache baada ya kujitoa Mgombea na mwenzake kwa jina la Karim Amir naye kajitoa, mpaka sasa hali si shwari maeneo kadhaa huko Karagwe.
Taarifa nilizopata hivi punde kutoka Karagwe ni kuwa mbunge wa sasa Mh. Gosbert Blandes amejitoa katika kinyanganyiro cha ubunge CCM,muda mchache baada ya kujitoa Mgombea na mwenzake kwa jina la Karim Amir naye kajitoa, mpaka sasa hali si shwari maeneo kadhaa huko Karagwe.
Habari ya asubuhi wanajamvi,
Habari zilizopokelewa sasa hivi ni kwamba CCM jimbo la Karagwe limewaengua. wagombea ubunge jimboni humo kwa tiketi ya chama hicho aliyekuwa mbunge wa jimbo Gosbert Blandes na mjumbe wa nec aitwaye Kareem.
Sababu ni malumbano kati yao yaliyoonekana kupelekea makundi ndani ya chama.Chanzo Radio Karagwe.
My take:Tuwaache wafu wawazike wafu wenzao.