"Mbunge" wa Karagwe asindikizwa na Polisi kwenda nyumbani

Baija Bolobi

JF-Expert Member
Feb 25, 2009
1,093
1,726
Wana Jamvi

"Mbunge" wa Karagwe kwa njia ya Kuchakachua, Gosbert Blandes (CCM), leo amesindikizwa na kikosi kizima cha Polisi ili kwenda nyumbani kwao kijijini kufanya sherehe ya kujipongeza. Msafara wake ulihudhuriwa na watu waliokuwa wanaficha nyuso zao kwa aibu ili wasifahamike ni kina nani.

Huku mitutu ya bunduki ikielekezwa kila upande wa barabara, watu waliokutana na msafara huo walikuwa wakitoa kilio kuashiria msiba mkubwa uliogubika hapa Karagwe.

Wakati hayo yakifanyika "Mbunge" kipenzi wa wana Karagwe, Deusdedit Jovin Kahangwa, leo amehutubia wana Karagwe kupitia Fadeco Radio, akiwashukuru kwa kumpigia kura nyingi na mshikamano waliouonyesha wakati wote. Katika hotuba hiyo iliyochukua takribani nusu saa, shughuli za biashara katika mji wa Karagwe zilisimama kwa muda huku kila mtu akisikiliza kwa makini hotuba hiyo. Baadaye alibaki studio akijibu maswali mbalimbali ya wasikilizaji kwa muda wa saa moja.
 
Wana Jamvi

"Mbunge" wa Karagwe kwa njia ya Kuchakachua, Gosbert Blandes (CCM), leo amesindikizwa na kikosi kizima cha Polisi ili kwenda nyumbani kwao kijijini kufanya sherehe ya kujipongeza. Msafara wake ulihudhuriwa na watu waliokuwa wanaficha nyuso zao kwa aibu ili wasifahamike ni kina nani.

Huku mitutu ya bunduki ikielekezwa kila upande wa barabara, watu waliokutana na msafara huo walikuwa wakitoa kilio kuashiria msiba mkubwa uliogubika hapa Karagwe.

Wakati hayo yakifanyika "Mbunge" kipenzi wa wana Karagwe, Deusdedit Jovin Kahangwa, leo amehutubia wana Karagwe kupitia Fadeco Radio, akiwashukuru kwa kumpigia kura nyingi na mshikamano waliouonyesha wakati wote. Katika hotuba hiyo iliyochukua takribani nusu saa, shughuli za biashara katika mji wa Karagwe zilisimama kwa muda huku kila mtu akisikiliza kwa makini hotuba hiyo. Baadaye alibaki studio akijibu maswali mbalimbali ya wasikilizaji kwa muda wa saa moja.

Radio Fadeco please tuwekeeni clip ya mahojiano mlofanya na huyo mbunge mdhurumiwa
 
Wana Jamvi

"Mbunge" wa Karagwe kwa njia ya Kuchakachua, Gosbert Blandes (CCM), leo amesindikizwa na kikosi kizima cha Polisi ili kwenda nyumbani kwao kijijini kufanya sherehe ya kujipongeza. Msafara wake ulihudhuriwa na watu waliokuwa wanaficha nyuso zao kwa aibu ili wasifahamike ni kina nani.

Huku mitutu ya bunduki ikielekezwa kila upande wa barabara, watu waliokutana na msafara huo walikuwa wakitoa kilio kuashiria msiba mkubwa uliogubika hapa Karagwe.

Wakati hayo yakifanyika "Mbunge" kipenzi wa wana Karagwe, Deusdedit Jovin Kahangwa, leo amehutubia wana Karagwe kupitia Fadeco Radio, akiwashukuru kwa kumpigia kura nyingi na mshikamano waliouonyesha wakati wote. Katika hotuba hiyo iliyochukua takribani nusu saa, shughuli za biashara katika mji wa Karagwe zilisimama kwa muda huku kila mtu akisikiliza kwa makini hotuba hiyo. Baadaye alibaki studio akijibu maswali mbalimbali ya wasikilizaji kwa muda wa saa moja.
Inasikitisha sana...
Hao maaskari waendelee kumlinda 24/7, vinginevyo naye atachakachuliwa...haki ya wengi si ya ku'fondle nayo ati!
 
Mimi nilikuwa omurushaka, nilishangaa sana maana hata msafara wa rais haulindwi hivyo, Bunduki zilikuwa njenje kana kwamba adui yuko karibu. Polisi walikuwa tayari kufyatua risasi.
Kwa masikitiko waliyoonyesha watu wa omurushaka, ni kweli ni kama wamefiwa. Polisi kumlimda hivyo mbunge ni dalili ya wazi kuwa ni mbunge wa kuchakachua, na wananchi ndio adui zake waliolengwa mitutu na polisi. Mama mmoja amesikika akisema, "miaka mingine mitano ya kuumia"
 
This if unfair and this is complete oppression. Hivi kitu kama hii tunashughulikia vipi?
 
Sasa huyo mbunge wa kuchakachua atawakilisha nani kama watu wake hawamtaki kiasi hicho? Haya maajabu jamani!
 
Haitawezekana kulindwa mda wote siku yake itafika tu,sasa jeshi limekuwa la kulinda wezi jamani na sio kupambana na wezi.
 
Blandes my Friend, najua wewe umebebeshwa mzigo ulioukataa kiungwana. Maisha yanaweza kuendelea tena kwa usalama na tena bila hofu nje ya ubunge. Fanya maamuzi sahihi kwa thamani ya maisha yako, familia YETU na wategemezi Wako.
 
kuna jambo naamini, Bila kuchakachuana wenyewe kwa wenyewe hatuwezi kuheshimiana.
 
Heri uwe maskini wa mali ukawa huru na amani kuliko kulalia mapesa huku ukilamba miguu ya mafisadi na kuwapa laana wanao, wazazi wako na wajuu pia. Laana hii ni ya kujitafutia. Utaishije kwa namna hii mbunge. Mbunge ameajiriwa na wananchi wake. Kabla ya kuingia bungeni, lazima akae nao, ajui shida zao, mawazo na mapendekezo yao, na akitoka bungeni lazima afanye mkutano nao kuwapa yaliyojiri. Mwajiri ni bosi. Sasa kama mwajiriwa anapewa ulinzi huku waajiri hawana, maana yake yeye ni bosi. Na si hivyo tu, yeye ni mungu mtu. Tokea lini mungu akawatumikia aliowaumba? Bila shaka maana ya neno MTUMISHI limepotea. Kulirudisha ITAGHARIMU siyo pesa, bali AMANI ya nchi yetu.
 
kuna jambo naamini, Bila kuchakachuana wenyewe kwa wenyewe hatuwezi kuheshimiana.

Mheshimiwa you have made my day!" Bila kuchakachuana wenyewe kwa wenyewe hatuwezi kuheshimiana"! Loo hii ni kali!:hippie:
 
Ipo siku walinzi wataanza apo ndo atatia akili,piga moto then kushney
 
Wana Jamvi

"Mbunge" wa Karagwe kwa njia ya Kuchakachua, Gosbert Blandes (CCM), leo amesindikizwa na kikosi kizima cha Polisi ili kwenda nyumbani kwao kijijini kufanya sherehe ya kujipongeza. Msafara wake ulihudhuriwa na watu waliokuwa wanaficha nyuso zao kwa aibu ili wasifahamike ni kina nani.

Huku mitutu ya bunduki ikielekezwa kila upande wa barabara, watu waliokutana na msafara huo walikuwa wakitoa kilio kuashiria msiba mkubwa uliogubika hapa Karagwe.

Wakati hayo yakifanyika "Mbunge" kipenzi wa wana Karagwe, Deusdedit Jovin Kahangwa, leo amehutubia wana Karagwe kupitia Fadeco Radio, akiwashukuru kwa kumpigia kura nyingi na mshikamano waliouonyesha wakati wote. Katika hotuba hiyo iliyochukua takribani nusu saa, shughuli za biashara katika mji wa Karagwe zilisimama kwa muda huku kila mtu akisikiliza kwa makini hotuba hiyo. Baadaye alibaki studio akijibu maswali mbalimbali ya wasikilizaji kwa muda wa saa moja.
https://www.jamiiforums.com/uchaguz...ijijini-nyamongo-anechinjwa-jioni-ya-leo.html
 
mwisho wake umefika huyo! May b ameahidiwa uwaziri ndo maana anafanya hivyo kwa uroho wake wa madaraka! Poleni ndugu zangu wa karagwe Mungu atamshushia galika afie mbali!
 
Hizo ndiyo tabia ya Mtawala kwamba lazima awe na ulinzi. Lakini kama angekuwa amechaguliwa kama kiongozi wa watu angekuwa anabebwa na kushangiliwa badala ya kuzomewa.
 
Poleni wana Karagwe na Wanyambo wote kwa kuchaguliwa mbuge asiyekuwa chaguo lenu. Poleni kwasababu hayo ndo madhara ya uchakachuzi. Kukimbia au kuwekewa ulinzi sio muafaka wa tatizo. Blandes dhuruma ni dhuruma tu. Historia itakuhukumu na sidhani kama wananchi wa Karagwe na hasa kule kijijini kwenu Ihembe II watafurahi na kukupa ushirikiano, na hata wakifanya hivyo itakuwa haitoki moyoni. Pengine utakuwa mmoja wa wabunge wengi ambao wakisha chaguliwa uhamia Dar es salaam. Je uko Dar es salaam si kuna wananchi wa jimbo hilo ulilolazimisha kuongoza. Unadhani watakupa ushirikiano. Haiwezekani kwani dhuruma ni dhuruma na haina mipaka. Utakuwa rafiki wa nani wewe. Kwanini uwe mpweke katika jamii yako, acha watu waamue ni nani wanamtaka awaongoze. Inshort for the last 5 years you have done nothing tangible to your people.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom