Mbunge wa Kahama Mjini ashauri Vyuo Vikuu kuwajibika kutafuta ajira kabla ya kusajili Wanafunzi

Mi nakwambia maofisi yetu haya mengi ukiacha yale ya watu wa medical environment na engineers wanaotumia mihesabu migumu, au watu wa actuarial science basi kazi nyingi zinafanyika tu tena kwa training ya muda mfupi tu!

Mi huwa nawakubali sana wazungu, yeye anapotaka kukupa kazi anakuuliza tu utaiweza ukimjibu ndio anakupa hints tunatakiwa kufanya hivi na vile tu kama ni taarifa basi utakusanya hizi na zile ukipata changamoto utaniuliza! Kisha anakusainisha contract unaanza kazi hamna mambo ya CV sijui vyeti na kusumbuana!

Na anakulipa vizuri mno on hourly basis kuliko hawa wakirtimba wenzetu weusi ngozi ya ma..pu..mbu akunyanyase na interview zisizo na idadi yani kisha akupe mkataba wa kinyonyaji akufuje tu na mikwara mingi!
Agree totally with you. Ndiyo maana hata ile issue ya vyeti FAKE nimekuwa naiona haikuwa well handled.
 
Kuna suala la supply and demand hapo sasa ndiyo suala la Serikali tena ambapo wamekosea. I hope TCU ndiyo wana approve mitaala ya kufundishwa vyuoni. Kwa course kama HRM in the past ungeikuta UDSM, Mzumbe, CBE na UDOM.

Siku hizi course kama HRM, Accounting, Business Administration utazikuta vyuo vyote mpaka Ardhi, TIA, AIA na SUA. Kwa hiyo supply ya wataalamu wa fani hizi imekuwa kubwa kuliko mahitaji. Kwa hiyo naiona kama issue ya tamaa za vyuo kuongeza udahili ili wapate mapato yatokanayo na ada
Now you are talking and this shit needs to stop! Zamani enzi za Nyerere ni kundi maalumu tu ndio liliteuliwa kusomeshwa na serikali kwa ajili ya kuajiriwa na hakukuwa na mtu anakosa ajira!

Watu wadahiliwe number inayoweza kuajiriwa tu!
 
Acha kuni-attack bila sababu za msingi twendeni kwenye hoja na siyo hii elimu yetu ambayo haina manufaa, mimi hata hii F4 yangu failure sijaitumia hata robo kabisa.
Kusoma na kuandika ulizaliwa ukiwa unajua ?

Kutoitumia elimu yako mwenyewe ni tatizo la elimu au la kwako mwenyewe kutoelimika ?
 
Mkuu degree zinapaswa zitolewe field kuwa mtu amefanya hiki hata kama ni kidogo lakini kina manufaa kwa jamii, kazi nyingi maofisini ni copy and paste hakuna ubunifu wowote, kuandika vocha kuna hitaji CPA? ni mambo ya hovyo kabisa kuna watu mtaani wamebuni umeme n.k hao ndiyo tulipaswa tuwape degree na siyo hizi za kukaririshana.
Utasoma practical bila theory kile unachokisomea ?
 
Elimu inahitaji marekebisho makubwa sana@ haliwezekani mtu ana bachelor ya economics, lakini bado mia tano ya vocha inampiga chenga mpaka apige mzinga kwa mdogo wake aliyemaliza la Saba tu.
Hahahahahah we jamaa umeniua mbavu
 
Now you are talking and this shit needs to stop! Zamani enzi za Nyerere ni kundi maalumu tu ndio liliteuliwa kusomeshwa na serikali kwa ajili ya kuajiriwa na hakukuwa na mtu anakosa ajira!

Watu wadahiliwe number inayoweza kuajiriwa tu!
Kwa hoja yako hii unataka watu wasisome vyuo kwa sababu hakuna ajira ?
 
Kwa hoja yako hii unataka watu wasisome vyuo kwa sababu hakuna ajira ?
Wasome tu kama wanavyosoma ila for their personal benefits sio kutegemea ajira serikalini! Serikali iseme tu kuwa itaajiri batch maalumu ili watu wasome kwa target!
 
Kwa jibu lako hili maana yake hoja ya Kishimba ni Faulty.
Haina fault yeyote! Kishimba ama mantiki kama utakuwa unafikiria in real sense zaidi ya ushabiki mandazi!

Maisha ya sasa yanahitaji pesa, tumesoma kwa uchungu ili tuajiriwe tupate pesa za kuendeleza maisha! Haiingii akilini mtu apotezw miaka mingi shule halafu lengo lisifanikiwe ni ujuha na inaifanya hio process nzima ya ku acquire elimu kuwa useless!

NB: Tumesoma ili tuajiriwe, kama lengo lilikuwa ni kuajiriwa na ajira hakuna elimu ni scam! Hamna mzazi angewekeza kwenye elimu kama angelijua kuwa mwisho mtoto hatapata ajira!
 
Mitahara iangaliwe mtu unasoma kitu kipo nje ya uwezo kiuchumi bado ukiforce mazingira utatakiwa kupata license kwa walio develop hiyo elimu. Ushauri wangu tafuta basics then develop maarifa yako
 
Af mtu anakwambia unahitajika uzoefu wa miaka mitano!

Im like what tha Fukk yani miaka mitano ya kuongea na watu kwenye simu? Namiliki simcard ya tigo for 18 years now! Hapo kazi ni ya customer service call centre!

Sasa mtu unahitaji degree kweli kwa kazi ya kupokea simu na kuongea na wateja!?
Unaambiwa uzoefu miaka 5 kwasababu unasoma customer care theory bila vitendo, switch board na kutransfer simu theory, na ndo maana muda unakuwa mrefu Ili ukariri, lakini maana ya chuo ni mafunzo kwa undani hivyo kinachotakiwa nikuanza upya Kama ni hiyo procurement inadili na mambo ya store na manunuzi basi somo lake liwe kwa vitendo kwa kuweka store na maduka then wafanye kwa vitendo kukaa store kupanga njia zinazotumika kununua na kutunza na kutoa vitu yaani hata hiyo miezi minane ni Mingi kwa huyo mtu kupata hiyo degree ya procurement, twende HR hivyo hivyo vyumba vya kufundishia HR vinakuwa vinadili na wafanyakazi kutengeneza likizo, na benefits zingine na kutengeneza documents kwenye computer za usimamamizi wa wafanyakazi na procedure za kufata kusimamia Sheria za kazi sasa nini kitashindikana kutumia muda mfupi mpaka mtu alazimishe muda mrefu chuo Kama vile dakitari anayejifunza kutibu mtu hivyo muda wake utakuwa mrefu maana anashughulika na kuokoa uhai.
 
Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.

Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.

Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.

Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Hivi huyu kishimba ndo yule yule tajiri wa mwanza miaka ya 90 mpaka 2000 mwanzoni, alikua na ghorofa lake mjini pale pembeni ya shule ya secondary ya pamba?
 
Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.

Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.

Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.

Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Mkuu Huihui2 ,pamoja na maovu yake yote, hoja yake ni ya msingi.
 
Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.

Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.

Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.

Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Siyo LA saba, hata LA kwanza hajasoma kabisa
Kasoma ukubwani mpaka kiwango cha degree ila vyeti ndo hana
 
Nilicheka Sana aliposema wanaosomea taaluma km ya udaktari ni Sawa Tu wakisoma chuo miaka mitatu maana anachokisomea anafanya practical kwenye hospitali,Hilo wwnanchi hatuna tatizo nalo,sasa wenzangu na mie mfano mtu anasomea procurement sijui wenyewe mnaita manunuzi unasomaje chuo miaka mitatu..unanunua nn miaka yote hiyo km siyo kupoteza muda tu..yaani unasomaje miaka mitatu manunuzi alafu unarudi nyumbani unamwambia mzazi nimesomea manunuzi Nani sasa atakuajiri kwenye Duka,miezi name inatosha degree

Huyu Mwamba na msukuma wananifurahisha sn
Mtu ambae hakusoma, hawezi kuisemea vizuri elimu, msukuma na huyu jamaa ni bangi tu inawasumbua
 
Back
Top Bottom