Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,598
Kwa hiki kiburi wewe huwezi kuwa wanaoongelewa na kishimba! You are free mzee! Sababu nyie ndio mnaosisitiza tutafte namna ya kuishi in informal ways!Kwani kutafuta degree ni lazima? Hiyo ni hiyari ya mtu. Kwa nini iwe tukose wote? Tutazifuata nje ya nchi!