Mbunge wa Kahama Mjini ashauri Vyuo Vikuu kuwajibika kutafuta ajira kabla ya kusajili Wanafunzi

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,304
8,208
Ili kukabiliana na changamoto ya ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu hapa nchini,Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba ameshauri vyuo vikuu kuwajibika kutafuta ajira kabla ya kusajili wanafunzi.

Amesema wazazi wengi hasa vijijini wanatumia wamechoshwa na mfumo wa elimu jinsi unavyofilisi mali zao tofauti na matarajio yao.

"Leo hii tunaongeza umasikini baadala ya kuongeza elimu, wananchi hawataki tena kusikia mambo ya shule, vijijini Mheshimiwa Spika ukifika ukiuliza ng'ombe wa hapa wameenda wapi, utaambiwa ng'ombe wamemalizwa na shule" Jumanne Kishimba

kuhusu changamoto ya ajira kwa wahitimu ameshauri vyuo kuwatembelea waajiri na kuuliza nafasi zilizopo ili kusajili idadi wanafunzi kulingna na ajira zilizopo.

"Leo hii nikizungumza kuhusu masuala ya vyuo vikuu naonekana kama chizi, lakini Mheshimiwa Spika, Makampuni yote duniani yanafanya biashara na vyuo vikuu, hapa Tanzania sijaona chuo kinachotembelea waajiri" Jumanne Kishimba

"Mhe. Spika hii inaweza kusaidia kwa sababu inawezakana hata ile elimu wanaotoa Vyuoni si ile inayohitajika kwa waajiri na tufike mahala baadala ya kusoma Degree kwa miaka mitatu wasome kwa miezi nane inatosha ili mtu aendelee na maisha mengine huku umri ukiwa unaruhusu " Jumanne Kishimba

Kishimba ametoa ushauri huo wakati akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2021/2022, jijini Dodoma.

Nini maoni yako?

FB_IMG_1620203043423.jpg
 
Nilicheka Sana aliposema wanaosomea taaluma km ya udaktari ni Sawa Tu wakisoma chuo miaka mitatu maana anachokisomea anafanya practical kwenye hospitali,Hilo wwnanchi hatuna tatizo nalo,sasa wenzangu na mie mfano mtu anasomea procurement sijui wenyewe mnaita manunuzi unasomaje chuo miaka mitatu..unanunua nn miaka yote hiyo km siyo kupoteza muda tu..yaani unasomaje miaka mitatu manunuzi alafu unarudi nyumbani unamwambia mzazi nimesomea manunuzi Nani sasa atakuajiri kwenye Duka,miezi name inatosha degree

Huyu Mwamba na msukuma wananifurahisha sn
 
Nilicheka Sana aliposema wanaosomea taaluma km ya udaktari ni Sawa Tu wakisoma chuo miaka mitatu maana anachokisomea anafanya practical kwenye hospitali,Hilo wwnanchi hatuna tatizo nalo,sasa wenzangu na mie mfano mtu anasomea procurement sijui wenyewe mnaita manunuzi unasomaje chuo miaka mitatu..unanunua nn miaka yote hiyo km siyo kupoteza muda tu..yaani unasomaje miaka mitatu manunuzi alafu unarudi nyumbani unamwambia mzazi nimesomea manunuzi Nani sasa atakuajiri kwenye Duka,miezi name inatosha degree

Huyu Mwamba na msukuma wananifurahisha sn
Hoja yake ni ya msingi lakini
 
Hapana mfatilie Kwa makini huku ukiwa neutral utagundua ana hoja zenye mashiko kwenye 'upuuzi' anaoongeaga
Sure ana hoja sn, elimu yetu haina maana yoyote, afisa utumishi anasoma miaka 3 kuja kupandisha watu madaraja, ruhusa, likozo na barua za kustaafu kazi ambayo hata mlinzi ukimuelekeza ataifanya kwa ufanisi sn. Over
 
Ili kukabiliana na changamoto ya ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu hapa nchini,Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba ameshauri vyuo vikuu kuwajibika kutafuta ajira kabla ya kusajili wanafunzi.

Amesema wazazi wengi hasa vijijini wanatumia wamechoshwa na mfumo wa elimu jinsi unavyofilisi mali zao tofauti na matarajio yao.

"Leo hii tunaongeza umasikini baadala ya kuongeza elimu, wananchi hawataki tena kusikia mambo ya shule, vijijini Mheshimiwa Spika ukifika ukiuliza ng'ombe wa hapa wameenda wapi, utaambiwa ng'ombe wamemalizwa na shule" Jumanne Kishimba

kuhusu changamoto ya ajira kwa wahitimu ameshauri vyuo kuwatembelea waajiri na kuuliza nafasi zilizopo ili kusajili idadi wanafunzi kulingna na ajira zilizopo.

"Leo hii nikizungumza kuhusu masuala ya vyuo vikuu naonekana kama chizi, lakini Mheshimiwa Spika, Makampuni yote duniani yanafanya biashara na vyuo vikuu, hapa Tanzania sijaona chuo kinachotembelea waajiri" Jumanne Kishimba

"Mhe. Spika hii inaweza kusaidia kwa sababu inawezakana hata ile elimu wanaotoa Vyuoni si ile inayohitajika kwa waajiri na tufike mahala baadala ya kusoma Degree kwa miaka mitatu wasome kwa miezi nane inatosha ili mtu aendelee na maisha mengine huku umri ukiwa unaruhusu " Jumanne Kishimba

Kishimba ametoa ushauri huo wakati akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2021/2022, jijini Dodoma.

Nini maoni yako?

Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.

Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.

Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.

Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
 
Nilicheka Sana aliposema wanaosomea taaluma km ya udaktari ni Sawa Tu wakisoma chuo miaka mitatu maana anachokisomea anafanya practical kwenye hospitali,Hilo wwnanchi hatuna tatizo nalo,sasa wenzangu na mie mfano mtu anasomea procurement sijui wenyewe mnaita manunuzi unasomaje chuo miaka mitatu..unanunua nn miaka yote hiyo km siyo kupoteza muda tu..yaani unasomaje miaka mitatu manunuzi alafu unarudi nyumbani unamwambia mzazi nimesomea manunuzi Nani sasa atakuajiri kwenye Duka,miezi name inatosha degree

Huyu Mwamba na msukuma wananifurahisha sn
 
Ili kukabiliana na changamoto ya ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu hapa nchini,Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba ameshauri vyuo vikuu kuwajibika kutafuta ajira kabla ya kusajili wanafunzi.

Amesema wazazi wengi hasa vijijini wanatumia wamechoshwa na mfumo wa elimu jinsi unavyofilisi mali zao tofauti na matarajio yao.

"Leo hii tunaongeza umasikini baadala ya kuongeza elimu, wananchi hawataki tena kusikia mambo ya shule, vijijini Mheshimiwa Spika ukifika ukiuliza ng'ombe wa hapa wameenda wapi, utaambiwa ng'ombe wamemalizwa na shule" Jumanne Kishimba

kuhusu changamoto ya ajira kwa wahitimu ameshauri vyuo kuwatembelea waajiri na kuuliza nafasi zilizopo ili kusajili idadi wanafunzi kulingna na ajira zilizopo.

"Leo hii nikizungumza kuhusu masuala ya vyuo vikuu naonekana kama chizi, lakini Mheshimiwa Spika, Makampuni yote duniani yanafanya biashara na vyuo vikuu, hapa Tanzania sijaona chuo kinachotembelea waajiri" Jumanne Kishimba

"Mhe. Spika hii inaweza kusaidia kwa sababu inawezakana hata ile elimu wanaotoa Vyuoni si ile inayohitajika kwa waajiri na tufike mahala baadala ya kusoma Degree kwa miaka mitatu wasome kwa miezi nane inatosha ili mtu aendelee na maisha mengine huku umri ukiwa unaruhusu " Jumanne Kishimba

Kishimba ametoa ushauri huo wakati akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2021/2022, jijini Dodoma.

Nini maoni yako?

Anaonekanaga mpuuzi ila ana hoja za Msingi
Binafsi naelewa anachokimaanisha
 
Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.

Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.

Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.

Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Una ushahidi???
 
Nilicheka Sana aliposema wanaosomea taaluma km ya udaktari ni Sawa Tu wakisoma chuo miaka mitatu maana anachokisomea anafanya practical kwenye hospitali,Hilo wwnanchi hatuna tatizo nalo,sasa wenzangu na mie mfano mtu anasomea procurement sijui wenyewe mnaita manunuzi unasomaje chuo miaka mitatu..unanunua nn miaka yote hiyo km siyo kupoteza muda tu..yaani unasomaje miaka mitatu manunuzi alafu unarudi nyumbani unamwambia mzazi nimesomea manunuzi Nani sasa atakuajiri kwenye Duka,miezi name inatosha degree

Huyu Mwamba na msukuma wananifurahisha sn
Haa ha haa; usimfananishe huyu na Msukuma bwana, huyu mwamba huaga ana HOJA fikirishi sana, Msukuma ni mropokaji tu, hanaga point kiviile kama huyu
 
Back
Top Bottom