bulletface
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 354
- 390
Unajua kuna watu, wamewasikia tayari wapi bungeni Hawa watu wakina msuk na kishimba lkn ni maharamia, mafisadi wakubwa pengine Bila hao wasomi kuwasaidia kwenye biashara zao wasingekuwa hapo walipo, wasomi wenyewe wamewafikisha bungeni kwa kuwasoma washindi wa matokeo ya uchaguzi kumbe walishindwa, mtu anao kubali hoja zao ni mjinga kama wao lkn kama umesoma unawapotezea tuHuyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.
Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.
Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.
Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU