comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,221
- 5,941
Shoctopus, kwangu mini ningeambiwa kuchagua ningetoa maiti bure na elimu watu walipeNdiyo maana 'elimu ni bure' ili matibabu isiwe 'free'.
Shoctopus, kwangu mini ningeambiwa kuchagua ningetoa maiti bure na elimu watu walipeNdiyo maana 'elimu ni bure' ili matibabu isiwe 'free'.
Na hospitali ikiachiwa maiti wanamzika wenyewe kwa gharama kubwa!Unaposema ni kinyume na mila na desturi zetu unamaanisha nini?
Suluhu ni serikali kuhakikisha kila mtanzania anapata bima ya afya not otherwise.
Wakiruhusu kutoa maiti kabla ya malipo nani atalipia gharama?
Mkuu wabunge wa ccm ni mizigoHizi ndio habari za kusikia kutoka bungeni
Sio unasikia mbunge amechana kitabu cha bajeti, unapata hasira hadi unazima data
Amenivutia huyu KishimbaAmeongea point sana,kuna msiba ulitokea wa jirani yetu Muhimbili daah aisee acha kabisa,sikia tu
Ujamaa alikufa nao JKNchi inajinasibu ya kijamaa lakini mipango na sera zakd za kinyonyaji.
Wabunge wangekuwa wanatafuta kero za Wananchi hivi wangekuwa wametatua nyingiAmenivutia huyu Kishimba
Mkuu ni mbaya kuishi kwa kushikiwa akili MTU mzimaWabunge wangekuwa wanatafuta kero za Wananchi hivi wangekuwa wametatua nyingi