kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,871
Ufisadi wa ccm ni wa kimfumo kijana, ufisadi wa ccm siyo wa mtu moja moja bali ni mfumo wa kifisadi unaoratibiwa na jumuia zote za chama.Wewe mwenyewe unavyojiona hapo ni mzima?! Kwani tunavyosema CCM mafisadi reference yetu ni nini kama sio individual leaders wanaotokana na CCM?!
Na hoja ya msingi ni kwamba: Kama wananunuliwa na CCM wangeshindwa nini kununuliwa na wafanyabiashara baada ya kupewa nchi kuongoza?
Hawa wabunge mnaosema wananunuliwa na CCM wangekuwa ndio possible ministers!
Sasa kama leo wananunuliwa na akina Polepole; wangekuwa mawaziri si wangekuwa wateja wa akina Acacia? So, wana tofauti gani na mifisadi ya CCM?!