UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,456
- 7,654
Msigwa ni mjenga hoja mzuri; anatakiwa tu kuacha siasa kama za [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] za jaziba, uanaharakati, matusi, nk. Akiacha hayo akajikita kwenye kujenga hoja, anaweza kuisaidia sana chadema. Chadema sasa hivi inahitaji sana kiongozi mwenye hekima na busara.