Mbunge wa Iringa mjini, Mchungaji Msigwa akamatwa na Jeshi la Polisi na kupelekwa mahabusu

Msigwa ni mjenga hoja mzuri; anatakiwa tu kuacha siasa kama za [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] za jaziba, uanaharakati, matusi, nk. Akiacha hayo akajikita kwenye kujenga hoja, anaweza kuisaidia sana chadema. Chadema sasa hivi inahitaji sana kiongozi mwenye hekima na busara.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom