Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 585
- 906
"... Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi iweke mkakati madhubutu wa kupatikana fedha za kuboresha Makazi na Nyumba za Askari Wetu.
Kama Fedha za ujenzi wa Barabara tunakata kwenye mafuta vivyo hivyo tunaweza kuamua Fedha za ujenzi wa Makazi ya Askari tukakata Asilimia tano Mpaka kumi kwenye tozo na faini zilizopo Kwenye Wizara alafu ukaundwa Mfuko Maalum.
Jeshi la Magereza nikapewa kusimamia ujenzi wa Makazi ya Askari wote waliopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa utaratibu wa "force account".
Sehemu ya Hotuba ya Mhe Ngassa (Mbunge wa Igunga) akichangia Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Kama Fedha za ujenzi wa Barabara tunakata kwenye mafuta vivyo hivyo tunaweza kuamua Fedha za ujenzi wa Makazi ya Askari tukakata Asilimia tano Mpaka kumi kwenye tozo na faini zilizopo Kwenye Wizara alafu ukaundwa Mfuko Maalum.
Jeshi la Magereza nikapewa kusimamia ujenzi wa Makazi ya Askari wote waliopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa utaratibu wa "force account".
Sehemu ya Hotuba ya Mhe Ngassa (Mbunge wa Igunga) akichangia Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.