impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,611
Hakuna kitu hakuna Ccm atafungwa kwa rushwaNi jambo jema!
Hakuna kitu hakuna Ccm atafungwa kwa rushwaNi jambo jema!
Mtasubiri sanaaaaNi muhimu sana tena.wananchi tunasubiri takukuru wawashughulikie hawa manyumbu.
subira uvuta heri yakhe.Mtasubiri sanaaaa
Ova
Jamaa ana bahati mbaya sana huyu!!Mbunge wa Igunga Dalali Kafumu anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwa tuhuma za kugawa milungula kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa JIMBO ili waweza kumpa kura kwenye mchakato wa uteuzi wa wagombea.
Heko kwenu takukuru lakini msiishie kuhoji tunataka kuona wakifikishwa mahakamani kujibu tuhuma, Sheria yenu ya 2007 inawapa Mamlaka.
Tunataka Taifa lenye mwelekeo wa maono ya Mkuu wa Nchi kuelekea uchumi wa kati
Ndio yule mheshimiwa Rais alisema kamera zilimnasa anawawinda wajumbe wa KAMATI YA MAKINIKIA APINDISHE ripoti ya kamati kwa kutumwa na mabeberuNi yule wa kutoa siri za makinikia?
Ilikua ni nepotism tu. Takukuru wana meno ya namna hiyoTakukuru chini ya Brigedia John Mbungo naona wamepata meno zaidi. Kumbe hakuna kinachoshindikana
Huyu amekwisha! Nahisi pia hana upepo na siasa. Ni mtu ana Ph.D lakini hakuwahi hata kupata unaibu waziri. Mbaya zaidi akapatikana na hilo la makinikia. Sasa tena PCCB!Ndio yule mheshimiwa Rais alisema kamera zilimnasa anawawinda wajumbe wa KAMATI YA MAKINIKIA APINDISHE ripoti ya kamati kwa kutumwa na mabeberu
Kulikua na mazingira ya rushwa lakini haikua RUSHWAMbona kigwangala na Gambo ,walishindwa?
Mbunge wa Igunga Dalali Kafumu anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwa tuhuma za kugawa milungula kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa JIMBO ili waweza kumpa kura kwenye mchakato wa uteuzi wa wagombea.
Heko kwenu takukuru lakini msiishie kuhoji tunataka kuona wakifikishwa mahakamani kujibu tuhuma, Sheria yenu ya 2007 inawapa Mamlaka.
Tunataka Taifa lenye mwelekeo wa maono ya Mkuu wa Nchi kuelekea uchumi wa kati
PhD anangangania siasa ndy ajiraHuyu amekwisha! Nahisi pia hana upepo na siasa. Ni mtu ana Ph.D lakini hakuwahi hata kupata unaibu waziri. Mbaya zaidi akapatikana na hilo la makinikia. Sasa tena PCCB!
Mambo ya kumpangia malaika mkuu mmeanza lini? Alishasema apangiwiHakuna jitu fisadi kama hilo Dalali Kafumu mikataba yote ya wizi Ya Marino limo hilo loo!!!.Andrew Chenge na huyo Kafumu CCM wasiwarudishe. Raisi Magufuli hawa wawili ukiwarudisha kugombea ubunge utakuwa hujawatendea haki watanzania
Takukuru chini ya Brigedia John Mbung'o wamepewa meno zaidi kwa Wapinzani! Kwa maCCM Takukuru ni kikundi cha Futuhi.Takukuru chini ya Brigedia John Mbungo naona wamepata meno zaidi. Kumbe hakuna kinachoshindikana