uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Kuna watu wameona wivu tayari
Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Msukuma leo jumapili jijini Dodoma, anatunukiwa Udaktari wa Heshima katika siasa na uongozi kutoka Chuo cha Academy of Universal Global Peace cha Marekani. “hiki ni chuo cha kimataifa na sasa naitwa Dkt. Msukuma.” https://t.co/Xq4n4BrSAl
View attachment 2033988
Mama Samia kachanganya wengi jamani. Sasa sijui itakuwaje akiongezewa mitano kuna watu watatembea uchi. Chezea kuvuruga machinga wewe? Huyo mwenzio anaonekana yuko mbali msamehe.Unajua kusoma?
MmeanzaHicho chuo ni confrimed fake na kazi yake ni kuuzia watu sampuli ya Msukuma fake honorary degrees
Rejea hizi links.
Busted: Rogue College Selling Honorary Doctorate to Africans in London.
Some prominent Nigerians in London, lots of whom are community leaders, lawyers and Nollywood actors have been caught up in a fake honorary doctorate as the […]www.chubmagazine.com
False claims of affiliation with UNU - United Nations University
Some institutions (such as those listed here) falsely claim to be affiliated or associated with the United Nations University.unu.edu
Beware of Fake people selling fake degree -using religion to dupe
This blog has been created to alert the online visitors against possible fraud being committed in southern part of India. There are number of fake Universities and institutions which are running in…fakeuniversity.wordpress.com
Hawajampa huko kumuwaza ndo lengoVyuo vikuu vinafanya ujinga ktk elimu. Msukuma ni wa kumpa Honorary Doctorate kweli??
Vyuo vikuu vinafanya ujinga ktk elimu. Msukuma ni wa kumpa Honorary Doctorate kweli??
Makalio yanakuwasha.
Sukumagang linajifanya kamanda! consiparacy to committ Terrorist mkubwa Wewe!Unajua kusoma?
Unatafuta mume?Sukumagang linajifanya kamanda! consiparacy to committ Terrorist mkubwa Wewe!
Umechoka Wewe sukumagang jinga, mjane tangu March!Unatafuta mume?
Si unaona anazisimamia biashara vzuriHuyu jamaa Hivi anajua kusoma Na kuandika?
ANAANDIKA BABA ASKOFU BAGONZAMbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Msukuma leo jumapili jijini Dodoma, anatunukiwa Udaktari wa Heshima katika siasa na uongozi kutoka Chuo cha Academy of Universal Global Peace cha Marekani. “hiki ni chuo cha kimataifa na sasa naitwa Dkt. Msukuma.” https://t.co/Xq4n4BrSAl
View attachment 2033988
Hiyo elimu imetusiadia nini watanzania na zile covidol zako za Madagascar mnafiki wewe..mchumia tumbo..sina haja na elimu ya tz ya kinafiki..bora niendelee kusaka pesa.Nawewe ongeza elimu Acha kubweteka. Muda unaokaa hapa JF unafaa kuongeza elimu. Sisi tushafika no class ahead
Wabongo bhana, hawaelewi hata umhimu wa elimu.Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Msukuma leo jumapili jijini Dodoma, anatunukiwa Udaktari wa Heshima katika siasa na uongozi kutoka Chuo cha Academy of Universal Global Peace cha Marekani. “hiki ni chuo cha kimataifa na sasa naitwa Dkt. Msukuma.” https://t.co/Xq4n4BrSAl
View attachment 2033988