mgosani
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,005
- 1,136
Mbunge wa Masoud Salim (CUF) wa jimbo la Mtambile znz ameishauri serikali wafute mbio za Mwenge na sherehe za madhimisho ya kitaifa yasiwepo na fedha zinazogharamia sherehe hizo zitengwe kwenye shughuli ya kupima Ardhi ili kubainisha matumizi bora na kuepusha migogoro inayosababisha uadui katika jamii. Mbunge Masoud aliyasema hayo jana wakati wa kujadili ripoti ya kamati iliyoundwa na Bunge kuchunguza migogoro hiyo.
Serikali itafute suluhisho la kudumu kuepusha migogoro hiyo ikibidi mabilioni fedha yanayopotea kwenye sherehe mbali mbali za kitaifa yaelekezwe kwenye kupima Ardhi
Serikali itafute suluhisho la kudumu kuepusha migogoro hiyo ikibidi mabilioni fedha yanayopotea kwenye sherehe mbali mbali za kitaifa yaelekezwe kwenye kupima Ardhi