Sinkala
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 1,773
- 683
Kwa kuwasomesha watoto hao, anawawezesha kuja kuwa wazazi wenye uwezo wa kuwasomesha watakaokuwa watoto wao.Piganieni kutengeneza uwezo kwa kila mwananchi kusomesha mtoto wake, siyo kugeuka wafadhili ok?
Haya mambo ya kutoa ufadhili ni kuendekeza tabia inayokua sana hapa nchini ya kuomba msaada kwa kila jambo ok?
Hongera kwa moyo wako wa upendo lakini tupiganie zaidi kuwezesha watu na si kuwapa misaada