Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Katika sehem ambayo inanipa mashaka sana kwa kuwepo na kuendelea kuwepo uongozi wa CHADEMA ni manispaa ya Iringa.
Pamoja na kufanyika uchaguzi mdogo wa madiwani kata ya Kitanzini na Gangilonga CDM hawakupata ushindi ingawa alikuja Mbowe na Joseph Sugu na wakati wa uchaguzi Msigwa alikuwepo lakini bado CDM ilitoka kapa.
Mtazamo wangu ni kwamba CDM inaweza kupoteza jimbo by 2015 kama hali itabaki hivi.
Pamoja na kufanyika uchaguzi mdogo wa madiwani kata ya Kitanzini na Gangilonga CDM hawakupata ushindi ingawa alikuja Mbowe na Joseph Sugu na wakati wa uchaguzi Msigwa alikuwepo lakini bado CDM ilitoka kapa.
Mtazamo wangu ni kwamba CDM inaweza kupoteza jimbo by 2015 kama hali itabaki hivi.