chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,955
- 20,526
Siasa haina rafiki wa kudumu,Ila ina maslahi ya kudumu.
Ni mkakati wa Ccm kumrudisha Dk. Kebwe jimbo LA Serengeti. Morogoro ilikuwa mbali kujijenga kwa wanachama,pia ile sera ya chama ya mtu mmoja cheo kimoja ingemkwaza
Mbunge wa chadema aliyeunga mkono nia na kuhamia Ccm, kalia viti vya bunge kwa mara ya mwisho, Ccm imeamua tayari!
Ni mkakati wa Ccm kumrudisha Dk. Kebwe jimbo LA Serengeti. Morogoro ilikuwa mbali kujijenga kwa wanachama,pia ile sera ya chama ya mtu mmoja cheo kimoja ingemkwaza
Mbunge wa chadema aliyeunga mkono nia na kuhamia Ccm, kalia viti vya bunge kwa mara ya mwisho, Ccm imeamua tayari!