johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,833
Afisa forodha mstaafu Ayoub Semkiwa amesema mbunge aliyemilikishwa gari la Chadema atapaswa kulipa kodi zote zilizosamehewa pamoja na adhabu.
Semkiwa amesema mbunge huyo ametumia ujanja tu ili kukwepa kodi na unaweza kukuta hata fedha za kununua hilo gari alizirejesha chamani kimtindo.
Semkiwa amesisitiza kuwa wajanja wengi hukwepa kodi kupitia vyama vya siasa na taasisi za kidini yakiwemo makanisa, misikiti na jumuiya zake.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Semkiwa amesema mbunge huyo ametumia ujanja tu ili kukwepa kodi na unaweza kukuta hata fedha za kununua hilo gari alizirejesha chamani kimtindo.
Semkiwa amesisitiza kuwa wajanja wengi hukwepa kodi kupitia vyama vya siasa na taasisi za kidini yakiwemo makanisa, misikiti na jumuiya zake.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!