Nimejikuta nacheka sana mbele ya hadhara ...Mfalme Berishaza hajamsikia?
Utaelewa ikikufikaHajui hata maana ya njaa.hv kupanda bei ya zao moja ndio baa la njaa
Mfalme Berishaza hajamsikia?
Hamna njaa tz.kuna kimtikisiko.ukienda kwenye global media ukisema kuna njaa utachekwa.Utaelewa ikikufika
Kuna upungufu wa chakula, njaa, afu baa la njaa!! Unaonekana hujui chochote ili mradi umeposti!! Eti baraa la njaa "nonsense"
Kwa hiyo mtu akikosa uwaziri haruhusiwi kusema ukweli???.Ana gadhab za kukosa uwaziri huyu hakuna lolote.....
Njaa ipo bwana msikae kutisha wabunge na ninachokijua mm wabunge wengi sana watakimbia ccm miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu ujao wamechoshwa na huyu rais wa mabavu kila kituAna gadhab za kukosa uwaziri huyu hakuna lolote.....