Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, Afanya Tukio la Kishujaa Mjini Dodoma!

Mods!!! Mnachangia kudidimiza heshima ya JF!! Mmepunguza mno makari wakuu!! Ebu fikiria mtu labda kwa mara ya kwanza anataka kujiunga JF alafu anakutana na habari ya namna hii? Atajiunga kweli!! Mimi nakumbuka kabla sijajiunga humu nilikuwa nakutana na NONDO hasa, zenye mashiko, watu wanapambana kwa hoja, habari, habari kweli!! Lakini siku zinavozi kwenda mimi sielewi jukwaa linaelekea wapi!!
 
Ndugu yangu Pasco
Haijawahi kushurutishwa kuanzisha thread JF
Hutahukumiwa ukikaa kimya kama huna la kuandika
Utahukumiwa kama ambavyo watu kadhaa wameshakuhukumu, kwa kuanzisha thread kama hii
Kutukanwa ni jambo moja; kujitukana ni aibu na kwa hili umejitukana tusi baya
 
user-online.png
AshaDii

24th January 2012 12:49
#6
JF Premium Member Array


Join Date : 16th April 2011
Location : Changeable
Posts : 13,698
Rep Power : 8575
Likes Received11379
Likes Given11468



[h=2]
icon1.png
Re: Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa-Pasco wa JF!.[/h]
quote_icon.png
By Kivumah
Kwanini Rais Mstaafu Mkapa alikuwa hawakubali nyie waandishi wa Habari wa Tanzania,
Utusaidie na hilo Pasco




Hakuna kitu kibaya na kitekelezi kwa reputation ya Kiongozi wa state kama "The forth estate" hasa katika haya mataifa machanga ambayo hata kiongozi ajitahidi namna gani ni kazi saana kutatua matatizo yote. Kheri sasa kama wangekua wana weka effort kubwa katika hilo; (as much as Tanzania sidhani kama we qualify katika hio). Mkapa is one confident dude... A reasonable confident Leader he was. In other words ni kwamba as much as he was confident alikua anajua wazi kabisa kua Vyombo vya habari ni vya kuvi potezea mbali if he was to work vile atakovo "a salient absolute leadership" - a kind of Leadership ambayo kiongozi wenu awapelekesha but mwaona it is right he is doing so na mwaridhia kwa lolote. The Irony ni kwamba ni mwandishi mwenyewe. What makes it worse ni wanahabari wetu wa Tanzania ambao wengi ni wana habari njaa (mtanisamehe wahusika ila ndio ukweli in most cases).

Nilisikitika saana kwamba for the very first time Mkapa aliamua kufunguka kwa media was to comment on "why alikua hajaipatia Michezo uzito wakati wa Uongozi wake".... Jamani, wewe mwandishi wa habari unapata nafasi ya Kuongea na kiongozi mkubwa kama yeye ambae hafungukagi hata siku moja; then unakubali kuhojiana nae kuhusu habari za Mchezo hali kuna maswali lukuki ambayo Watanzania tunataka kujua.... Siamini kwamba yule mwanahabari alikua hajui hilo... that is the sad part of it.... Inakua kama Mwandishi wa habari hana akili na Mtanzania ataesoma hio habari nae mjinga pia.....​
 
Kwa wale ambao hawamfahamu Pasco, Pasco anapenda sana kuonekana wa kwanza kuleta habari hapa JF, ninachomsifu mimi ni kwamba huwa hapost habari ambayo hajaithibitisha.
 
Kwa wale ambao hawamfahamu Pasco, Pasco anapenda sana kuonekana wa kwanza kuleta habari hapa JF, ninachomsifu mimi ni kwamba huwa hapost habari ambayo hajaithibitisha.

Muda si mrefu ataithibitisha!
 
Wakuu jamaa kaomba apatiwe muda (sasa kuna kazi gani kumpatia muda) hii ni kama alert mkae mkao wa kula (binadamu bwana yaani mnapenda kuletewa alafu mnataka mlishwe kabisa..) Tumpe muda jamaa asiporudi na information ndio tuanze kumchana...

Mbona kuna thread humu ilishakuja imeandikwa tu Tick Tock the countdown (alafu hamkumchana muhusika)

Nadhani ifike wakati tuanze ku-judge watu kwa wanachosema sasa na sio walichosema mwaka jana
 
Kama kila member angekuwa anarusha thread kwa mtindo wako JF ingekufa ingejaa *****. Shiriki kutunza heshima ya JF
Kama kila member angekuwa anagoja kupata uhakika ndio anarusha thread basi kungekuwa hakuna news alert au tetesi.., hii ni news alert (you are alerted kwamba huenda kutakuwa au kutokuwepo kwa news) yaani anatoa tetesi what is happening kwenye maeneo ya Bunge watu wanasema nini..

Mkuu Pasco mimi binafsi ninapenda hizi alert (reporting) kama wengine hawapendi wewe siku ukipata nidondoshee hata kwenye PM (after all sisi tuna akili kuchuja nini ni mpunga na nini ni mchele, hutulazimishi kukubali kila unachosema) Ila sio vibaya kupata current affairs of what is happening
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco tunakusubiri / tunakuomba utushushie habari sababu sikulipi / hatukulipi kuleta habari chochote utakacholeta will be highly appreciated, Thanks in advance, na ninasubiri hizi tetesi kwa hamu na kama sio tetesi hakuna neno there is always tomorrow (the thing about reporting ni kama kutafuta almasi) unachimba kifusi cha kutosha ili kupata almasi moja (na huenda usipate),

Haya kaka endelea kuchimba hicho kifusi hopefully utatuletea hio almasi sisi ambao tupo nyuma ya keyboard
 
Last edited by a moderator:
user-online.png
sun wu

Today 11:17
#94
Senior Member Array


Join Date : 1st April 2012

Posts : 495

Rep Power : 2056

Likes Received
190

Likes Given
70

Again same mistake, judging people according to how long wamekuwa jamvini and not the contents za kipi kimeandikwa.., Naomba uniambie nini maana ya news alert, na kama hicho alichoweka Pasco sio news alert (tukae mkao wa kula); yeye yupo Dom na amesikia watu wanaongelea jambo ambalo anachunguza mpaka hapo atakapopata habari zaidi..,

Sasa kwanini asipewe benefit of doubt mpaka pale atakapoleta hio habari (na kama habari ikigeuka kuwa bogus, tatizo ni nini, he tried kutujulisha na sio kwamba analipwa au unalazimishwa kusoma kila anacholeta Pasco) Ni habari ngapi zimeletwa humu zikageuka kuwa non starter (JF inakuwa the first kupata news sababu ya hizi tetesi) ukingoja mpaka upate kila kitu utakuwa unapata Yesterdays News which is todays Rubbish
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom