Kwa mujibu wa maelezo ya RPC Nyombi via TBC1, ameeleza kuwa Mbunge huyo alitishia kumuua Afisa Mtendaji Kata, ikatipotiwa polisi na polisi wakachunguza na kupeleka jalada kwa Wanasheria wa Serikali ambao nao waliridhika na ushahidi wakawaagiza polisi wamkamate mbunge huyo na kumfikisha mahakamani. So polisi kumkamata ni kutekeleza order ya wanasheria wa serikali (state attorneys).
nadhani spika atakuwa ametaarifiwa kwanza na polisi kabla ya kumkamata ili atoe kibali.
wakili gani wa serikali atapenda kupoteza kibarua chake kwa kutoa order ya kumkamata
mbunge wa CCM bila kufuata sheria zote za bunge? naamini hivo
Wabunge wa hiki chama bwana wananichekesha sana!!
Wanapenda sana kutishiana maisha kama yule mwenyekiti wa timu yangu aliepanda jukwaani na mguu wa kuku kiunoni.
Halafu bado wanamwaga sumu kua sie wavaa magwanda tunapenda fujo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.