SULEIMAN ABEID
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 390
- 385
Mbunge wa Jimbo la Mafinga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameibua kashfa mpya ya nguzo za umeme kununuliwa nje ya nchi wakati katika Jimbo lake la Mafinga kuna mwekezaji aliyekweza kwenye utengenezaji wa nguzo kwa kutumia mitambo aliyonayo na kisha nguzo hizo kusafirishwa kwenda nchini kwao na kisha kununuliwa na Serikali na kurudishwa nchini.
Msikilize hapa akitiririka.
Msikilize hapa akitiririka.