Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Mbunge wa buchosa chitalilo yko matatani baada ya kudaiwa kutapeli mfanyabiashara zaidi ya sh million 100...habari zaidi zinasema mallamiko haya yamefika ofisi ya bunge na waziri mkuu.....mh huyu anadaiwa na bw athuman kaponola
akibubujikwa na machozi kaponola amesema chitalilo alifika kwake kuomba ubia wa kununua na kuuza pikipiki na matairi na mipira ya ndani toka china;mimi nilitoa kiasi hicho sababu ya heshima ya mbunge kwa iman niliokuwa nae juu yake,leo hii ninaishi maisha magumu hata sijui ntakula wapi.......
Mh alipohojiwa wiki hii alidai adaiwi kama mtu binafsi bali kampuni anayomiliki ya oceannic distributers limited....mfanyabisashara hyo anadai alifahamiana na mh alipokuwa akichimba nae madini shinyanga...mh alipobanwa alidai ni kweli anadaiwa kiasi karibu na million mia
alipopigiwa simu mh mbunge alisema naomba jamani msiiandike hii habari mpka tukutane uso kwa uso chonde chonde mkitaka kila kitu narudi dar ntawaeleza sitoficha kitu...gazeti la mwanahalisi limeona badhi ya barua kwenda ofisi za ccm makao makuu ..
Na kuona baadhi ya nyaraka za ofisi za ccm kuomba bunge limalize swala hilo bila kutoka nje...
Mh ni mbunge wa jamhuri ya muungano na zipo kanuni za utumishi na maadili zinazohusu viongozi matapeli kama hawa;bw mtanda wa ofisi ya ccm alikutana na kaponola kusuluhisha swala hili 2009 21 oct hotel ya landmark...walikubaliana mbunge kkuanza kumpa sh million 30 ili na yeye aweze kulipia den alilokuwa amekopa bank ya akiba..kaponola alichukua mkopo wa sh million 40azania bank na kulalmika wameshamletea barua ya kupiga bei nyumba yake kulipia deni anaomba msada
akibubujikwa na machozi kaponola amesema chitalilo alifika kwake kuomba ubia wa kununua na kuuza pikipiki na matairi na mipira ya ndani toka china;mimi nilitoa kiasi hicho sababu ya heshima ya mbunge kwa iman niliokuwa nae juu yake,leo hii ninaishi maisha magumu hata sijui ntakula wapi.......
Mh alipohojiwa wiki hii alidai adaiwi kama mtu binafsi bali kampuni anayomiliki ya oceannic distributers limited....mfanyabisashara hyo anadai alifahamiana na mh alipokuwa akichimba nae madini shinyanga...mh alipobanwa alidai ni kweli anadaiwa kiasi karibu na million mia
alipopigiwa simu mh mbunge alisema naomba jamani msiiandike hii habari mpka tukutane uso kwa uso chonde chonde mkitaka kila kitu narudi dar ntawaeleza sitoficha kitu...gazeti la mwanahalisi limeona badhi ya barua kwenda ofisi za ccm makao makuu ..
Na kuona baadhi ya nyaraka za ofisi za ccm kuomba bunge limalize swala hilo bila kutoka nje...
Mh ni mbunge wa jamhuri ya muungano na zipo kanuni za utumishi na maadili zinazohusu viongozi matapeli kama hawa;bw mtanda wa ofisi ya ccm alikutana na kaponola kusuluhisha swala hili 2009 21 oct hotel ya landmark...walikubaliana mbunge kkuanza kumpa sh million 30 ili na yeye aweze kulipia den alilokuwa amekopa bank ya akiba..kaponola alichukua mkopo wa sh million 40azania bank na kulalmika wameshamletea barua ya kupiga bei nyumba yake kulipia deni anaomba msada