Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 588
- 911
Mbunge wa Igunga Dkt Kafumu Leo ametumiwa salam na wapiga kura wake kwa "zomea zomea" na kelele kuwa Wananchi wamemchoka na hawatamchagua tena baada ya kuwatelekeza.
Hayo yamejili Leo kwenye ziara ya Waziri wa Mifugo na Uvivu Mheshimiwa Luhaga Mpina. Mpina aliwaambia wananchi wa Igunga amepeleka salaam za Mbunge wao Mhe Kafumu NDIPO Wananchi wakaibua mayowe kuwa "Hawamtaki na hawatamchagua tena Mwaka huu yeye na Diwani wa Igunga Mhe Bomani"
Hayo yamejili Leo kwenye ziara ya Waziri wa Mifugo na Uvivu Mheshimiwa Luhaga Mpina. Mpina aliwaambia wananchi wa Igunga amepeleka salaam za Mbunge wao Mhe Kafumu NDIPO Wananchi wakaibua mayowe kuwa "Hawamtaki na hawatamchagua tena Mwaka huu yeye na Diwani wa Igunga Mhe Bomani"