Mbunge wa CCM akiri ubaguzi wa kikaburu ndani ya awamu hii, usipokuwa CCM huna haki kama raia lazima uwe CCM

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Mbunge wa Babati mjini, Pauline Gekul amefunguka utofauti katika utendaji kazi alivyokuwa mbunge kwa kiti cha CHADEMA na utendaji kazi akiwa ndani ya Chama tawala CCM.

Akizungumza na mwandishi wa Dar24, Mercy Mbaya amesema kwa sasa masuala ya wananchi yanaenda vizuri sana na kazi imekuwa nyepesi tangu ahamie CCM. ''Nilivyohamia CCM nimepata ushirikiano wa hali ya juu sana masuala ya wananchi yanakwenda vizuri sana mwanzoni nilivokuwa mbunge wa upinzani vitu vingi manake nisukume mwenyewe vinaweza visitekelezwe au visifanyike, lakini sahivi nipo CCM mambo yamekuwa rahisi sana'' amesema Mbunge Gekul. [ 72 more words ]

 
Mbunge wa Babati mjini, Pauline Gekul amefunguka utofauti katika utendaji kazi alivyokuwa mbunge kwa kiti cha CHADEMA na utendaji kazi akiwa ndani ya Chama tawala CCM.

Akizungumza na mwandishi wa Dar24, Mercy Mbaya amesema kwa sasa masuala ya wananchi yanaenda vizuri sana na kazi imekuwa nyepesi tangu ahamie CCM. ''Nilivyohamia CCM nimepata ushirikiano wa hali ya juu sana masuala ya wananchi yanakwenda vizuri sana mwanzoni nilivokuwa mbunge wa upinzani vitu vingi manake nisukume mwenyewe vinaweza visitekelezwe au visifanyike, lakini sahivi nipo CCM mambo yamekuwa rahisi sana'' amesema Mbunge Gekul. [ 72 more words ]

Kwa maana hiyo dhana ya maendeleo hayana chama ndio kudanganyana ama inakuaje?
 
Alipokuwa CHADEMA alitakiwa kupinga kila kitu maendeleo yakiwemo
Ccm iendeleze tu sera yake ya ubaguzi wa maendeleo hadi siku ile wanaobaguliwa wakikataa kuwa sehemu ya nchi na kudai wajitawale wenyewe ndio mtaamka! Endeleeni tu kutengeneza vitaifa ndani ya taifa!
 
Wakati yupo ccm kwa sasa anafundishwa nini cha kuongea bungeni na asipofuata anapelekwa kwa kamati ya watu makatili
Alipokuwa CHADEMA alitakiwa kupinga kila kitu maendeleo yakiwemo

In God we trust
 
Back
Top Bottom