Mbunge wa CCM akijiliwaza baada ya kukosa Uwaziri


Mbunge Mh. Profesa Kapuya akicheza dansi kwa mtindo wa 'pekecha-pekecha' wa bendi ya AKUDO IMPACTO ndani ya ukumbi wa Mango Gardens jijini Dar-es-Salaam wikiendi iliyopita(picha hisani ya Globalpublishers)

Ukisikia nimekufa usiweke msiba... bali sherehekea kwa sababu una roho mbayaaa.....Jamani mimi sina tatizo na hiyo action. tatizo langu ni huyo anayebanjuka naye, naona kama hawaendani kabisa. angekuwa na kifaa kama mzee wetu hapa chini, ningempa big up!

165163_121459821254335_100001709543243_113912_721216_n.jpg
 

Mbunge Mh. Profesa Kapuya akicheza dansi kwa mtindo wa 'pekecha-pekecha' wa bendi ya AKUDO IMPACTO ndani ya ukumbi wa Mango Gardens jijini Dar-es-Salaam wikiendi iliyopita(picha hisani ya Globalpublishers)

Ni matumaini kuwa mheshimiwa Prof. Kapuya pia ataonyesha juhudi za dhati kama vijana kwa kupinga malipo kwa DOWANS wakati wa kikao cha bunge Februari 2011 mjini Dodoma.

Hiyo Club watu hawaruhusiwi kuvaa viatu? Naona waliowengi wako kwenye kobas wakaka kwa wadada
 
Baridiee baridiee baridiee, Baridiee baridiee baridiee, Bella apocalypse......!!!!!!
 
Back
Top Bottom