Mh. Juma Kapuya ambaye ni mbunge wa huko Tabora, akijiliwaza kwa kucheza dansi mtindo wa 'Pekecha-pekecha' wa bendi ya AKUDO IMPACTO wakati akiwa ndani ya ukumbi wa Mango Gardens, Kinondoni jijini Dar-es-Salaam wikiendi iliyopita..
Ni matumaini Mbunge Profesa Kapuya ataonyesha pia juhudi za nguvu (IMPACTO) katika kuchangia hoja za kupinga malipo kwa DOWANS katika bunge litakalokaa Februari 2010 mjini Dodoma.