Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Sabiby, amemtaka Waziri wa fedha atafute pesa popote atakapozipata ili aongeze mishahara ya watumishi wa umma mara dufu, kama alivyoahidi Rais, Mh Samia Suluhu Hassan. Ametamka hayo bungeni leo wakati akichangia mapango wa maendeleo wa 2022-2025 bila kupepesa macho, kutikisa masikio wala kumuogoa mtu yeyote. Hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye klipu hiyo hapo chini 👇
YapoJe hayo mapato yapo
Samia yuko kazini na hatanii 👇Ndio. Wakiwapanga vizuri wamachinga kama alivyoshauri mbunge mapato ya kutosha yatapatikana.
Hata sasa ndio naelekea huko kwa Paulo na Silla.Sina nauli. Nataka kwanza serikali iniongezee hela nipate nauli mkuu. Wewe tayari umeishamtembelea?
Mama anatafuta Kodi kwa nguvu
Kodi huwa haitafutwi kwa kukenuaMama anatafuta Kodi kwa nguvu
Mbinu zote zinatumia,sheria bila enforcement ni useless.Lakini sharti itafutwe kisheria sio kimababu
waongeze tuu kwn tupo uchumi wa kati!Wanataka iongezwe maradufu !?
Usimuelewe vibaya ame quote maneno ya Jiwe bila ya kuweka quotation mark.Du! Mkuu una roho mbaya sana aisee! Mbona wabunge wanaolipwa milioni 15 kwa mwezi lakini kila siku wanalalamika pesa hazitoshi huwaachishi kazi kwa kuwanyima kura?
Kama amemuote jiwe nimemuelewa maana jiwe alikuwa na roho mbaya sana aiseeUsimuelewe vibaya ame quote maneno ya Jiwe bila ya kuweka quotation mark.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app