tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,775
- 18,188
Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Sabiby, amemtaka Waziri wa fedha atafute pesa popote atakapozipata ili aongeze mishahara ya watumishi wa umma mara dufu, kama alivyoahidi Rais, Mh Samia Suluhu Hassan. Ametamka hayo bungeni leo wakati akichangia mapango wa maendeleo wa 2022-2025 bila kupepesa macho, kutikisa masikio wala kumuogoa mtu yeyote. Hebu msikilize wewe mwenyewe kwenye klipu hiyo hapo chini 👇